Ushauri: Nichague kwenda China au Ujerumani???

Ushauri: Nichague kwenda China au Ujerumani???

Tupe connection na sie.
Wakenya wanatoa sana connection kwa wenzao thus wapo Duniani nzima hadi nchi ndogo.
Wabongo ni nchi kubwa tu.
Huwezi mkuta mbongo mfano Malta,Beralus,Serbia, Uruguay lakini wakenya wamejaa huko
1. Ufaulu wako wa undergraduate uwe kuanzia wa GPA ya 3.5 na kuendelea

2. Uwe unapita kwenye websites za vyuo vikuu mbalimbali (in short utenge muda wa kuwa una-search kwenye mtandao mara kwa mara) mi muda wangu mwingi nautumia hivyo na nina Magroup 5 tu ya WhatsApp

3. Uwe na nyaraka stahiki, uwe pia na wadhamini/recommenders wa uhakika na unaowaamini na ambao wako tayari kuku_recommend. Katika hili ufuatiliaji wa kina unahitajika maana huwezi kuwa admitted bila kuwa na recommendation letters kadhaa.
 
Nawasalimuni nyote!

Naamini mu wazima.

Naomba msaada wa kupata ushauri kama ifuatavyo;-

Niliomba Scholarship nchini China kusoma Master of Public Administration na pia niliomba nchini Ujerumani kusoma Master of Public Policy.

Scholarships zote ni za miaka 2 na kote wananilipia pesa ya ada, tiketi ya ndege na mahitaji mengine yote ya Chuo ikiwemo bima ya afya.

Naombeni ushauri wenu je nichague kwenda wapi maana kote natakiwa kwenda mwezi wa 7 mwaka huu 2023.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyote!
Mwanangu nenda china.ukitoa Dubai china ndo nchi inayoongoza Kwa biashara za Tanzania.Ukisoma china utajua machimbo mengi ya biashara hata hyo ajira ikija kubuma huko mbelen unakomaa na biashara Kwa sababu machimbo mengi utakuwa ushayajua ya wachina.We unadhan hawa Kina zahor sijui Infinix na Tecno wanatoa wap hizi trending phones.

Binafsi nataman Sana nikapuyange china kibiashara,china Ina fursa mingi Sana Yani karibia k.koo yoote tunategemea bidhaa za china ila tunazidiana Quality ya hizo bidhaa tu.

Kuna mwanangu Moja alienda kusoma china,Ile kamaliza tu shule akafungua na kampuni yake ya Cargo na ndo Iko inafanya vzr Sana Kwa ss.siwez kuitaja hapa


Best luck Jamaa.
 
1. Ufaulu wako wa undergraduate uwe kuanzia wa GPA ya 3.5 na kuendelea

2. Uwe unapita kwenye websites za vyuo vikuu mbalimbali (in short utenge muda wa kuwa una-search kwenye mtandao mara kwa mara) mi muda wangu mwingi nautumia hivyo na nina Magroup 5 tu ya WhatsApp

3. Uwe na nyaraka stahiki, uwe pia na wadhamini/recommenders wa uhakika na unaowaamini na ambao wako tayari kuku_recommend. Katika hili ufuatiliaji wa kina unahitajika maana huwezi kuwa admitted bila kuwa na recommendation letters kadhaa.
Hii kwa watumishi ipo poa wao Wana dhamana ya uhakika kupitia ajira zao
 
Mwanangu nenda china.ukitoa Dubai china ndo nchi inayoongoza Kwa biashara za Tanzania.Ukisoma china utajua machimbo mengi ya biashara hata hyo ajira ikija kubuma huko mbelen unakomaa na biashara Kwa sababu machimbo mengi utakuwa ushayajua ya wachina.We unadhan hawa Kina zahor sijui Infinix na Tecno wanatoa wap hizi trending phones.

Binafsi nataman Sana nikapuyange china kibiashara,china Ina fursa mingi Sana Yani karibia k.koo yoote tunategemea bidhaa za china ila tunazidiana Quality ya hizo bidhaa tu.

Kuna mwanangu Moja alienda kusoma china,Ile kamaliza tu shule akafungua na kampuni yake ya Cargo na ndo Iko inafanya vzr Sana Kwa ss.siwez kuitaja hapa


Best luck Jamaa.
Atakuwa silent ocean rafik yako huyo
 
Nawasalimuni nyote!

Naamini mu wazima.

Naomba msaada wa kupata ushauri kama ifuatavyo;-

Niliomba Scholarship nchini China kusoma Master of Public Administration na pia niliomba nchini Ujerumani kusoma Master of Public Policy.

Scholarships zote ni za miaka 2 na kote wananilipia pesa ya ada, tiketi ya ndege na mahitaji mengine yote ya Chuo ikiwemo bima ya afya.

Naombeni ushauri wenu je nichague kwenda wapi maana kote natakiwa kwenda mwezi wa 7 mwaka huu 2023.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyote!
Kwa sasa fursa nyingi ziko China kuliko Ulaya na Marekani.

Kama unakifahamu kichina basi hilo ni bonge la dili sana kwako.

Kama ni kutembea nchi nyingine za Ulaya unaweza kwenda muda wowote hata ukitaka kutokea huko huko China.


All the best na hongera sana kwa hatua hiyo.

Ukiamua pa kwenda ni vyema utupatie mrejesho ili tuwe tunakuagiza baadhi ya vitu hasa kama utaamua kwenda kwa huu haaa mastaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom