Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
Kwel watu wanakichwa kigumu kwa situation hiyo mtu unashindwa ku make analitical decision
Inashangaza.....
Kwel watu wanakichwa kigumu kwa situation hiyo mtu unashindwa ku make analitical decision
Habari kwenu waheshimiwa na msio waheshimiwa..!
Jana nilitoka out na mchumba wangu, Tulipo fika sehemu ambayo tulikua tumepanga kwenda kutembelea na yeye ndie alipachagua tuka mkuta Jamaa ambae alinitambulisha kua ni mme mdogo na mimi ni mme mkubwa. Yule mwenzangu alikasirika na kutaka kuanzisha ugomvi ila mimi nikawa mpole hadi tulipo rudi nyumbani na huyo mchumba wangu.. na hadi sasa hivi sijamuuliza kitu na sijarudi nyumbani toka asubuhi. Sijawasiliana nae kwasababu simu yangu niliiacha nyumbani. Ndugu zangu naomba mnishauri nimfanye nini huyu mtu juu ya hiki kitu alichonifanyia, Ukweli nina mpenda sana ingawa kwetu walimkataa kisa ya kabila lake kua mmbulu huku akichanganya damu ya kisomalia upande wa mama na mmbulu upande wa baba.
Wakati huyo mume mwenzio amelianzisha timbwili huyo mke wenu alikuwa anajiteteaje?
hujauliza, hujaongea nae unataka umfanye nin? Au ndo kgezo cha kufanksha ya nduguzo?
kwa hiyo hutaki kuamini kuwa jamaa anakula au? mi ndomana wambulu nawala na kuchapa lapa ....hawaridhiki
Mh! Hii stori tata, mwanamke akuonyeshe njemba lake lingine! Lazima kakugonga dawa mwana husikii wala huoni, na inaonyesha lazima utarudi kwake tu! Ila huyo demu lazima awe mrembo kinoma, msomali na mbulu! Mwe usimuache mkuu!
Pole sana, kuna mmbulu mmoja alikutana na dereva wa lorry hakuridhika eti anatumbo nene, akahamia kwa dereva wa land rover mandolina, alichokisema ni kuwa (weka lafudhi ya kimbulu) "dhereva wa mandolina inajua mpaka naiambia badhirisha tundu usije ukanimimba bana" Kuna mwengine tena nikiwa chuo fulani alikuwa mzuri sana sasa kuna jamaa ake baada ya kuona anachukuliwa na wengine akamuuliza vipi mbona nasikia unawapa watu tu kama pipi, binti akamjibu (kama kawaida weka lafudhi yao) "Sasa yenyewe inataka mie nikatae" Kaka hapo umeumia na kakuona BUSHOKE
Mwanamke alikua akijibizana na huyo jamaa.
Nani kakuambia kachanganyana na msomali?wambulu wengi wanafanana na wasomali kwa sura,labda umedanganywa ili uone umepata mrembo,halafu isitoshe girls wa kimbulu hawajambo kuachia nyavu kama wahaya,inawezekana jamaa kashakula mzigo.
hebu waza reaction ya mchumba wako jamaa aliposema hivo ilikwaje?kama hawafahamiani kwanini jamaa ame-mind hivo???
mzee mi kwangu ni regular sex tu ..kisses, she suck, i go down there a little bit then sex after few minites la kwanza mapamziku la pili will take a little bit longer la tatu la nne kwisha . huwa sifanyi as if ni competition, i do it just for healthy
aisee....
Wanaume wa siku hizi ......
Kabaang vipi unampa? Maana it might be the one service missing
Yawezekana jamaa anakula au akawa anajazwa kichwa.
wambulu wana udhaifu wa kutolizika?
Ana ujasiri sanadaaah kama ni kweli basi huyo dada ana ujasiri mkubwa sana