Ushauri ndugu zangu.

Ushauri ndugu zangu.

nyonga nyonga

Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
27
Reaction score
4
Habari kwenu waheshimiwa na msio waheshimiwa..!

Jana nilitoka out na mchumba wangu, Tulipo fika sehemu ambayo tulikua tumepanga kwenda kutembelea na yeye ndie alipachagua tuka mkuta Jamaa ambae alinitambulisha kua ni mme mdogo na mimi ni mme mkubwa. Yule mwenzangu alikasirika na kutaka kuanzisha ugomvi ila mimi nikawa mpole hadi tulipo rudi nyumbani na huyo mchumba wangu.. na hadi sasa hivi sijamuuliza kitu na sijarudi nyumbani toka asubuhi. Sijawasiliana nae kwasababu simu yangu niliiacha nyumbani. Ndugu zangu naomba mnishauri nimfanye nini huyu mtu juu ya hiki kitu alichonifanyia, Ukweli nina mpenda sana ingawa kwetu walimkataa kisa ya kabila lake kua mmbulu huku akichanganya damu ya kisomalia upande wa mama na mmbulu upande wa baba.
 
Wakati huyo mume mwenzio amelianzisha timbwili huyo mke wenu alikuwa anajiteteaje?
 
daaah kama ni kweli basi huyo dada ana ujasiri mkubwa sana
 
hujauliza, hujaongea nae unataka umfanye nin? Au ndo kgezo cha kufanksha ya nduguzo?
 
kwa hiyo hutaki kuamini kuwa jamaa anakula au? mi ndomana wambulu nawala na kuchapa lapa ....hawaridhiki
 
Mh! Hii stori tata, mwanamke akuonyeshe njemba lake lingine! Lazima kakugonga dawa mwana husikii wala huoni, na inaonyesha lazima utarudi kwake tu! Ila huyo demu lazima awe mrembo kinoma, msomali na mbulu! Mwe usimuache mkuu!
 
Pole sana, kuna mmbulu mmoja alikutana na dereva wa lorry hakuridhika eti anatumbo nene, akahamia kwa dereva wa land rover mandolina, alichokisema ni kuwa (weka lafudhi ya kimbulu) "dhereva wa mandolina inajua mpaka naiambia badhirisha tundu usije ukanimimba bana" Kuna mwengine tena nikiwa chuo fulani alikuwa mzuri sana sasa kuna jamaa ake baada ya kuona anachukuliwa na wengine akamuuliza vipi mbona nasikia unawapa watu tu kama pipi, binti akamjibu (kama kawaida weka lafudhi yao) "Sasa yenyewe inataka mie nikatae" Kaka hapo umeumia na kakuona BUSHOKE
 
kwa hiyo hutaki kuamini kuwa jamaa anakula au? mi ndomana wambulu nawala na kuchapa lapa ....hawaridhiki

Ukiona hawaridhiki ujue hugusi panapowapa utamu, jaribu kuji-evaluate tactics zako in bed!
 
Ukiona hawaridhiki ujue hugusi panapowapa utamu, jaribu kuji-evaluate tactics zako in bed!

mzee mi kwangu ni regular sex tu ..kisses, she suck, i go down there a little bit then sex after few minites la kwanza mapamziku la pili will take a little bit longer la tatu la nne kwisha . huwa sifanyi as if ni competition, i do it just for healthy
 
Habari kwenu waheshimiwa na msio waheshimiwa..!

Jana nilitoka out na mchumba wangu, Tulipo fika sehemu ambayo tulikua tumepanga kwenda kutembelea na yeye ndie alipachagua tuka mkuta Jamaa ambae alinitambulisha kua ni mme mdogo na mimi ni mme mkubwa. Yule mwenzangu alikasirika na kutaka kuanzisha ugomvi ila mimi nikawa mpole hadi tulipo rudi nyumbani na huyo mchumba wangu.. na hadi sasa hivi sijamuuliza kitu na sijarudi nyumbani toka asubuhi. Sijawasiliana nae kwasababu simu yangu niliiacha nyumbani. Ndugu zangu naomba mnishauri nimfanye nini huyu mtu juu ya hiki kitu alichonifanyia, Ukweli nina mpenda sana ingawa kwetu walimkataa kisa ya kabila lake kua mmbulu huku akichanganya damu ya kisomalia upande wa mama na mmbulu upande wa baba.

Mapenzi yenu ni matam sana! Inaonekana ww ni bendera kwa huyo kijimwana cha kimbulu! Uchumba tu anafanya hivyo je mkioana itakuwaje? Hakufai na vilevile hakupendi unajilazisha kuwa nae wakati mmbulu hakutaki! Aliyekutambulisha ndiyo wake wa longi. Upo hapo! Heeee unavamia pori mzee chui watakunyonya damu!
 
Nani kakuambia kachanganyana na msomali?wambulu wengi wanafanana na wasomali kwa sura,labda umedanganywa ili uone umepata mrembo,halafu isitoshe girls wa kimbulu hawajambo kuachia nyavu kama wahaya,inawezekana jamaa kashakula mzigo.
hebu waza reaction ya mchumba wako jamaa aliposema hivo ilikwaje?kama hawafahamiani kwanini jamaa ame-mind hivo???
 
ila ni mzuri aisee mbulu na msomali....kitu kimesimamaje hicho?
 
Kwel watu wanakichwa kigumu kwa situation hiyo mtu unashindwa ku make analitical decision
 
Kwel watu wanakichwa kigumu kwa situation hiyo mtu unashindwa ku make analitical decision
 
mm sijaona sababu ya kuomba ushauri.....
ukishindwa kujiendesha mwenyewe basi ujue utaendeshwa na wengine!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom