Ushauri, natokaje hapa?

Mishe zako si zinaenda kama kawaida?? Oa tu. Achana na maisha ya kisela. Maisha ndivyo huanza..
 
Hapa ndipo unafeli mzee. Fikiri kwa kina. Ingekua ni below standard usingepaswa kusubutu hata kumtongoza.

Kutongoza unapaswa kutongoza kila mwanamke mbele yako, kuna vitu ukiwa naye ndo utagundua hutoweza kuishi naye for life.
 
Nawatakia maisha mema ya ndoa

Tafuta room kimya kimya ukipata hama akiwa hayupo ila dhambi hii hainihusu
 
Kutongoza unapaswa kutongoza kila mwanamke mbele yako, kuna vitu ukiwa naye ndo utagundua hutoweza kuishi naye for life.
Kuwa makini na neno standard maana ni pana sana

Angalia usije pata standard yako alafu akawa kichomi balaa

Alafu kwanini unaishi na mwanamke nearly 4 months alafu sio standard yako. Inashangaza kwa kweli
 
Kuwa makini na neno standard maana ni pana sana

Angalia usije pata standard yako alafu akawa kichomi balaa

Alafu kwanini unaishi na mwanamke nearly 4 months alafu sio standard yako. Inashangaza kwa kweli

Sababu za kuishi naye zimeainishwa post #1 hapo juu, kuhusu standard (viwango) ni muhimu kuzingatiwa.

Hata ingekuwa ni mpango wa kuoana, basi kipindi cha uchumba au hata kabla... hufanyika upembuzi yakinifu.
 
Na nyie mnaojifanya hamtaki kuoa mnakamatwaga kizembe sana,apo ushaoa brathee,sema tu we hujajua,kikubwa halalisheni tu.

Sijaona ukisema anashida ya kitabia au laah,hivyo anaonekana ni mwanamke anaefaa kuoa.

Oa mkuu
 
Na nyie mnaojifanya hamtaki kuoa mnakamatwaga kizembe sana,apo ushaoa brathee,sema tu we hujajua,kikubwa halalisheni tu.

Sijaona ukisema anashida ya kitabia au laah,hivyo anaonekana ni mwanamke anaefaa kuoa.

Oa mkuu

Hana shida kitabia, ni kawaida tu kama wengine... kuoa kizembe ndicho ninachofikiria kujiepusha nacho.
 
Ok hupo tayari kuoa kwa sasa,lakini huyo ana vigezo vya mke umtakae?,wasi wasi wangu tu unamtupa huyo unaenda kuangukia kwenye mikono ya kicheche na kujutia.
 
Hata kuhama mwenyewe nako kutamfanya aone kua umemchok, kumbuka hapo njia ni kumfanya apange bila kumuumiza

Kwanza hakikisha unauhakika kua anaweza kujimudu kupitia ofisi yake anayoiendesha.

Halafu unaweza kumdanganya kua kuna pesa ulikopa na time ya kurudisha inakaribia kufika na uliweka rehani mali za ndani na kwasasa pesa hiyo hauna. (Hapo unaweza ukaingizia na ile pesa ambayo ulimpa kwa ajili ya kufungulia ofisi yake kua ilitokana na ule mkopo)

Baada ya hapo mtafute msela wako umpange kua baada ya siku fulani aje kuchukua vitu vyako vya ndani avitaifishe. Halafu we jidai kua unalala kwa geto la msela

Baada ya hapo msikilizie kama unaukauzu wakulala kwenye sakafu na pesa ya kununua mahitaji hayi imekunjwa kwenye pindo la kanga

Ukiona katusua hadi mwezi akiwa yupo kwenye sajafu, nakushauri bro rudisha vitu vyako uje umuoe huyo ndo wife material anaijua misoto hawezi kukuacha hata katika kile kipindi ambacho utakua umekwama
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…