Ushauri: Nataka kuoa Burundi

Ushauri: Nataka kuoa Burundi

Residence permit ndo msala
Bongo ni nchi ambayo mtu yoyote wa kigeni anaweza ishi hadi hadi akakata Ringi bila kukutana na maafisa wa uhamiaji.
So, ilo si kikwazo kivile unless awe anataka wife awe anapiga mishe za kufuata bidhaa nje.
Lakini kama wife ni kutulia Ngwea tu na kudili shughuli za nyumbani ilo residence aachane nalo.
 
Bongo ni nchi ambayo mtu yoyote wa kigeni anaweza ishi hadi hadi akakata Ringi bila kukutana na maafisa wa uhamiaji.
So, ilo si kikwazo kivile unless awe anataka wife awe anapiga mishe za kufuata bidhaa nje.
Lakini kama wife ni kutulia Ngwea tu na kudili shughuli za nyumbani ilo residence aachane nalo.
Kumbe unaoa House wife?
 
Warundi ukiwaoa ni umechukua jumla... huko kwetu kuna sehemu inaitwa Haho yaya na wako kibao kutoka Burundi, ukiwaoa tu, hata kusalimia nyumbani kwao hawaendi. Haya mambo ya shangazi mjomba anataka chai , vitumbua na machapati hawana... wako poa sana. Wanawake wa kirundi wanaheshimu sana waume zao, ni watiifu haswa. Ndoa utaivunja wewe. Hata ukiwa cheat hawakuachi... si wanawake wanaokupa pressure kama wetu wa bongo kila siku maswali kama job interview... kwa kweli wako poa... nimewashuhudia toka kijijini kwetu - kwa kuona maisha yao na vijana waliowaoa huko kijijini...
 
Warundi ukiwaoa ni umechukua jumla... huko kwetu kuna sehemu inaitwa Haho yaya na wako kibao kutoka Burundi, ukiwaoa tu, hata kusalimia nyumbani kwao hawaendi. Haya mambo ya shangazi mjomba anataka chai , vitumbua na machapati hawana... wako poa sana. Wanawake wa kirundi wanaheshimu sana waume zao, ni watiifu haswa. Ndoa utaivunja wewe. Hata ukiwa cheat hawakuachi... si wanawake wanaokupa pressure kama wetu wa bongo kila siku maswali kama job interview... kwa kweli wako poa... nimewashuhudia toka kijijini kwetu - kwa kuona maisha yao na vijana waliowaoa huko kijijini...

Nielekeze hiko kijiji niende fasta
 
Nielekeze hiko kijiji niende fasta
Hapo HahoYaya ni karibu sana na Vijiji vya SiroriSimba ( Willaya ya Musoma Vijijini) , Remng'orori, Kenyamonta (wilaya Serengeti) Mkoa wa Mara, ni jina walilopewa na kutokana na Tabia zao... UKiweza fika maeneo hayo ya vijiji tajwa, wewe waambie wahusika wakupe ramani ya HahoYaya...
 
Hapo HahoYaya ni karibu sana na Vijiji vya SiroriSimba ( Willaya ya Musoma Vijijini) , Remng'orori, Kenyamonta (wilaya Serengeti) Mkoa wa Mara, ni jina walilopewa na kutokana na Tabia zao... UKiweza fika maeneo hayo ya vijiji tajwa, wewe waambie wahusika wakupe ramani ya HahoYaya...

Sawa kiongozi nitajitahidi kufika
 
bujumbura
Sawa ila usiende buyenze labda bwiza.

Bwiza nina ndugu aliolea kule wameishi muda mrefu tu japo kwa sasa hawapo pamoja ila ndugu yangu ndio alizingua na si mwanamke.

Kwa kiasi fulani warundi kuna jamii ni nzuri na wengine ni kutokana na ile vita walikuwa na wakati mgumu kiasi waliishi katika hali mbaya na kuathiri uchumi na kuingia kwenye biashara haramu.

Ukimtoa mwanamke nchi kama Burundi tegemea atakuwa imara kusimamia ndoa yake japo mwanamke atabaki na sifa ile ile ila kuna unafuu sana.

Nina shemeji zangu wanataka niwatumie nauli warudi huku walikuwa wakija kumtembelea ndugu yao kipindi yupo na ndugu yangu.
 
🤣🤣🤣Dah ila wanaume wa Tanzania mna mahangaiko sana.....yaani walivyo na lafudhi mbovu mwisho wa siku uanze kushinda bar hutaki kurudia home
 
🤣🤣🤣Dah ila wanaume wa Tanzania mna mahangaiko sana.....yaani walivyo na lafudhi mbovu mwisho wa siku uanze kushinda bar hutaki kurudia home
Kwani kinyama ugomvi nacho kina lafudhi pia? Najua kinakubari Kila aina ya msumari… pia isitoshe watu wakiwa deep huwa wanaongea Lugha na maneno yasioelewejana wakimaliza mmojawapo akimuuliza mwenzie alikuwa anasema nini, jibu, wala sikumbuki… huwa wanasem- niue, nikabe koo, Mimi ni wako, nitumie unavyotaka… etc… warundi na Wanawake wote humu duniani wanaongea lugha hizi hizo…Hivyo lafudhu haijalishwi sana…
 
Kwani kinyama ugomvi nacho kina lafudhi pia? Najua kinakubari Kila aina ya msumari… pia isitoshe watu wakiwa deep huwa wanaongea Lugha na maneno yasioelewejana wakimaliza mmojawapo akimuuliza mwenzie alikuwa anasema nini, jibu, wala sikumbuki… huwa wanasem- niue, nikabe koo, Mimi ni wako, nitumie unavyotaka… etc… warundi na Wanawake wote humu duniani wanaongea lugha hizi hizo…Hivyo lafudhu haijalishwi sana…
Duh hii kiboko
 
Back
Top Bottom