Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,792
- 191,143
Na kadri inavyokaa inaendelea kufifia tu
Kweli nina Hisense ila picha yake siyo poa
Kweli nina Hisense ila picha yake siyo poa
😂😂Hebu usituonee wa TecnoKama una mkwanja wa kutosha vuta sony android tv 4k.
Haya mengine ya china sijui TCL ni takataka achai watumiaji wa simu za tecno wayanunue ndio tv zao hizo.
Wenye hela wanaenda dukaniKama una mkwanja wa kutosha vuta sony android tv 4k.
Haya mengine ya china sijui TCL ni takataka achai watumiaji wa simu za tecno wayanunue ndio tv zao hizo.
Fanya survey yabei huko ulipo mie nitakuuzia kwabei nzuri huku nakuletea mzigo OG wa TCL Mana hyo ndio ninaoiamini Bei n nzuri kuliko hzo zahuko mie huwa nanunua kutoka nje ya bongo tukielewana nakuagizia ukifika kwako tunamalizanaWakuu nataka kununua tv inch 55 nasikia bei imepungua ipi ni brand nzuri yenye picha nzuri na inayodumua kwa muda
Nakazia,ukihitaji kutoka kariakoo usisite kupiga *149*46*30# kwenda vodacom,tigo na airtel bure kupata huduma ya manunuzi na kusafirishiwa tv yako hadi mahali ulipo.Mkuu tafuta tcl smart android hutajutia wenye nazo wanaelewa hii kampuni ya kichina ni moto
Kwa uelewa wangu
1)Samsung
2)hisense
3)tcl
Hizo ndo brand za kuchagua zingatia brand ya kwanza na bei imechangamka
bei yake ikoje inchi 43 mkuuFanya survey yabei huko ulipo mie nitakuuzia kwabei nzuri huku nakuletea mzigo OG wa TCL Mana hyo ndio ninaoiamini Bei n nzuri kuliko hzo zahuko mie huwa nanunua kutoka nje ya bongo tukielewana nakuagizia ukifika kwako tunamalizana
Number 2 nadhani ni LGMkuu tafuta tcl smart android hutajutia wenye nazo wanaelewa hii kampuni ya kichina ni moto
Kwa uelewa wangu
1)Samsung
2)hisense
3)tcl
Hizo ndo brand za kuchagua zingatia brand ya kwanza na bei imechangamka
Hii code ikoje?Nakazia,ukihitaji kutoka kariakoo usisite kupiga *149*46*30# kwenda vodacom,tigo na airtel bure kupata huduma ya manunuzi na kusafirishiwa tv yako hadi mahali ulipo.