Hodi humu ndani, naomba kwa wazoefu mnisaidie nataka kulima pilipili Mbuzi.
Naomba ushauri wenye experience fulani juu ya zao hili mbegu kilimo na soko kwa ujumla.
Asante.
Hodi humu ndani, naomba kwa wazoefu mnisaidie nataka kulima pilipili Mbuzi.
Naomba ushauri wenye experience fulani juu ya zao hili mbegu kilimo na soko kwa ujumla.
Asante.