TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,253
- 2,023
Umeandika utafikiri biashara hazina changamoto yani wewe utakuwa unapata faida tu ili ukajengeInasikitisha saana mkuu,,yani kila kijana anawaza kujenga.Hawawazi kuwekeza,halafu ile faida ndo aje aitumie kujenga tena bila stress.Matokeo yake wanajenga vibanda tena kwa kuunga unga na mikopo.Nyumba inafika kwenye lenta hela imekata.Anasubiri tena baada ya miaka mitano ya mkopo kuisha aende akaongezee tena..very stressful life
Sent using Jamii Forums mobile app