hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 853
- 2,037
Nimechaguliwa kujiunga form 5 katika shule ambayo haikuwahi kuwa na advance, yaani ndiyo tunaenda kuifungua, ina 0 level ambao matokeo yao tu ya form 4 mwaka jana hayakuwa mazuri, haina walimu wa kutosha masomo ya science(3). Lakini mbaya zaidi ninaenda kusoma pcb, nimefuatilia michakato ya uhamisho imeshindikana, nifanyeje?