Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 465
- 842
nice
Aisee nishauri ndugu nifanye vp mbna mm tu.. Nimekata tamaa nimefika mbali kimawazoPole sana sio bure ndugu kuna roho mbaya inakufuatilia
Nipe msaada nifanye niepukane na hili harakaMkuu Unakimavi
Mm n mkristo Safi, Sasa nliwaza kama hivo lkn naona namkosea Mungu na Imani yanguNenda Kwa mganga isije ikawa una copy yako inafanya kazi, au huwa unatoka nje ya mwili bila kujijua
Mkuu nimejitahid yote hayo lkn haijafanya Kaz, sio hivyo tu imekua kila ni apo anza kufanya jambo jipya likikamilika bas kwangu ni shereheDah, Hilo Jina tu unalolitumia hapa Lishaanza kututia Mashaka hata sisi hapa...!
Jiulize tu Kwanini kila Mara ni Wewe tu. Jitafakari Sana hlf Ubadilike...Badilisha Marafiki.....Anza kwenda Kanisani ama msikitini.
Asante sana mkuu kwa ushaurUSIJIUE USIJIDHURU, kwa imani yako nenda kwa kiongoz wako wa dini mueleze aksaidie kimaombi, anza tabia ya kisali asubuh mchana na usiku hata kwa dakika 1 tu inatosha... Kama utaweza pia kwa mwezi funga siku 3 mfululizo, ukiweza siku 7 mfululizo. Mungu yu pamoja nawe usiogope ni changamoto za kawaida ktk maisha
avatar yako inaakisi kichwani ulivyoMkuu Unakimavi
kama ndugai vileavatar yako inaakisi kichwani ulivyo
Nimewaza kama wewe.Nenda Kwa mganga isije ikawa una copy yako inafanya kazi, au huwa unatoka nje ya mwili bila kujijua