kissambivi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 218
- 119
Mimi ni kijana wa miaka 28 nimeoa Nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja,
Bahati nzuri nimelewa na kusoma kwa Babu yangu na Bibi yangu upande wa kike maana ndio walezi wangu ;Kwa bahati mbaya Babu na Bibi yangu wamefariki Nikiwa nasoma form two;
Babu yangu alinifundisha kuwekeza baadhi ya rasilimali kwa kupanda miti kwenye baadhi ya maeneo ukiunganisha unapata kama ekari saba(7) .Mjomba ni mtoto pekee wa kiume kati ya watoto watano wa Babu yangu imefikia kipindi mjomba amefuta kabisa Mali na maeneo aliyonipa Babu,Moja ya eneo langu amesha vuna Miti yangu, Nashindwa kuelewa kwanini anifanyie hivyo,Yeye anadai kwa anataifisha Mali zangu kisa Ada aliyonilipia Nikiwa chuoni .
Naombeni ushauri amenipandikisha chuki kwa Dada zake imefikia kipindi Mimi na familia yangu tunanyoshewa vidole eti Mimi Nina kiburi na Sina pakuanzia .
Bahati nzuri nimelewa na kusoma kwa Babu yangu na Bibi yangu upande wa kike maana ndio walezi wangu ;Kwa bahati mbaya Babu na Bibi yangu wamefariki Nikiwa nasoma form two;
Babu yangu alinifundisha kuwekeza baadhi ya rasilimali kwa kupanda miti kwenye baadhi ya maeneo ukiunganisha unapata kama ekari saba(7) .Mjomba ni mtoto pekee wa kiume kati ya watoto watano wa Babu yangu imefikia kipindi mjomba amefuta kabisa Mali na maeneo aliyonipa Babu,Moja ya eneo langu amesha vuna Miti yangu, Nashindwa kuelewa kwanini anifanyie hivyo,Yeye anadai kwa anataifisha Mali zangu kisa Ada aliyonilipia Nikiwa chuoni .
Naombeni ushauri amenipandikisha chuki kwa Dada zake imefikia kipindi Mimi na familia yangu tunanyoshewa vidole eti Mimi Nina kiburi na Sina pakuanzia .
