Ushauri na Msaada wa kwenda masomoni Marekani

Ushauri na Msaada wa kwenda masomoni Marekani

Kwanza jamaa anaitwa EBM na siyo IBM,jamaa huyu anaongea mambo mengi sana lakn yote ni magumu sana kwa wa Tz,anaongelea scholarship zenye masharti ya IELTS na TOEF yaani kiufupi yupo more complicated sana hana plan B kabisa.
Masharti magumu kivipi? Utakwenda vipi kusoma nchi za kingereza bila kupimwa uwezo wako wa lugha?

Kumbuka watu wengi huwa wanatumia Admission letter au hizo I 20 kuombea viza tu na siyo wasomaji wanakwenda kupiga box.

Ndio sababu mtu yeyote aliyepata GPA nzuri kwenye degree ya kwanza ni gurentee lazima apate scholarship wala huitaji ndumba wala uchawi.

Hivi kama una nia ya kusoma kweli kwenda British council na kusoma kozi ya kingereza na kufanya hiyo mitihani yao shida iko wapi au huo ugumu uko wapi hapo? Sasa ukiogopa mtihani wa kingereza huyo consular ubalozini unakwenda kuongea naye vipi? Na student viza huwezi kufanyiwa interview kwa kiswahili ni lazima ujuwe lugha na siyo magumashi ya Yes no you know watakupiga chini ilihali una documents zote, watajiuliza tu kingereza hujui unakwenda kusoma vipi nchi inayotumia Kingereza? Utapeli, human trafficking.
 
simamia lengo lako mkuu na pole kwa yaliyokukuta mimi naona Elimu ni nzuri zaidi endapo utarudi hapa kwetu Tanzania utapata kwa kushika, dini kumbuka kwamba nchi yetu haiamini masuala ya kidini kwa hiyo kutoboa ni ishu
Wewe hauko well informed, dini hasa makanisa ndio biashara inayolipa sana kwa sasa na haina hasara, weww wajaze hofu kondoo tu kuhusu mbinguni ingawa hujawahi kufika utasambaziwa upendo.

Yule muhindi wa Agape Fernandes pesa za sadaka amefanikiwa kumsomesha mtoto wake chuo bora kabisa Marekani na sasa anamiliki App ya Nala.
umempa wazo zuri mimi nilishindwa kulitumia hili nilipopata nafasi ya kusoma Cardiff nchini UK walitaka niwe na account kutoka kwa sponsor wangu isiyopungua 25mil nikashindwa kwa kigezo hicho
So sad, mnaishi vipi mjini mpaka mnakwama kwa kitu kama hiki?
 
Wewe hauko well informed, dini hasa makanisa ndio biashara inayolipa sana kwa sasa na haina hasara, weww wajaze hofu kondoo tu kuhusu mbinguni ingawa hujawahi kufika utasambaziwa upendo.

Yule muhindi wa Agape Fernandes pesa za sadaka amefanikiwa kumsomesha mtoto wake chuo bora kabisa Marekani na sasa anamiliki App ya Nala.

So sad, mnaishi vipi mjini mpaka mnakwama kwa kitu kama hiki?
Dini inahitaji kipaji sio mtu yoyote anaweza kuwashawishi Kondoo waende kwake
 
Kwanza jamaa anaitwa EBM na siyo IBM,jamaa huyu anaongea mambo mengi sana lakn yote ni magumu sana kwa wa Tz,anaongelea scholarship zenye masharti ya IELTS na TOEF yaani kiufupi yupo more complicated sana hana plan B kabisa.
Mkuu kwenye hayo mambo unayoyaona magumu ndimo kuna mafanikio,kweli bila ujuzi wa lugha kupata vyuo na scholarship ni changamoto sana.
 
umempa wazo zuri mimi nilishindwa kulitumia hili nilipopata nafasi ya kusoma Cardiff nchini UK walitaka niwe na account kutoka kwa sponsor wangu isiyopungua 25mil nikashindwa kwa kigezo hicho
Nashukuru kwa kushare experience mkuu, nipo kwenye mchakato huo, nafanya bidii kubwa nilifanikishe hili.
 
Masharti magumu kivipi? Utakwenda vipi kusoma nchi za kingereza bila kupimwa uwezo wako wa lugha?

Kumbuka watu wengi huwa wanatumia Admission letter au hizo I 20 kuombea viza tu na siyo wasomaji wanakwenda kupiga box.

Ndio sababu mtu yeyote aliyepata GPA nzuri kwenye degree ya kwanza ni gurentee lazima apate scholarship wala huitaji ndumba wala uchawi.

Hivi kama una nia ya kusoma kweli kwenda British council na kusoma kozi ya kingereza na kufanya hiyo mitihani yao shida iko wapi au huo ugumu uko wapi hapo? Sasa ukiogopa mtihani wa kingereza huyo consular ubalozini unakwenda kuongea naye vipi? Na student viza huwezi kufanyiwa interview kwa kiswahili ni lazima ujuwe lugha na siyo magumashi ya Yes no you know watakupiga chini ilihali una documents zote, watajiuliza tu kingereza hujui unakwenda kusoma vipi nchi inayotumia Kingereza? Utapeli, human trafficking.
Ni sahihi, na baadhi ya vyuo imebidi nifanye online interview kupitia ZOOM kwa dakika 45, ujuzi wa lugha ni kigezo kikubwa sana katika kupata chuo na scholarship.
 
Wewe hauko well informed, dini hasa makanisa ndio biashara inayolipa sana kwa sasa na haina hasara, weww wajaze hofu kondoo tu kuhusu mbinguni ingawa hujawahi kufika utasambaziwa upendo.

Yule muhindi wa Agape Fernandes pesa za sadaka amefanikiwa kumsomesha mtoto wake chuo bora kabisa Marekani na sasa anamiliki App ya Nala.

So sad, mnaishi vipi mjini mpaka mnakwama kwa kitu kama hiki?
Mkuu tatizo ni kukosekana kwa uaminifu baina ya watu, umaskini na ufinyu wa mawazo, hii imenikuta hata mimi zaidi ya mara mbili, kila nikijaribu kumuomba mtu awe sponsor wangu, na kunisaidia bank statement inaruka 100 miles. Wengi wanadhani pesa inaweza chukuliwa kwenye account na hofu nyinginezo, ni changamoto kubwa sana kufanikiwa, hasa katika jamii zetu hizi.
 
Omba kujiunga na jeshi lao, uende ukaserve ukitoka kutumikia jeshi unapewa na uraia kabisa tofauti na wale wenzako wanaosoma ili baadae wafukuzie kazi itawachukua miaka zaidi ya kumi kupata uraia.

Ila wewe ukitoka zako kutumika jeshini ambazo huwa mission zake sio ndefu sana unapata nishani ya heshima na tuzo, malipo juu ya kuanza maisha plus uraia juu ukae unavyotaka.
Mkuu Hawezi kujiunga na jeshi kama siyo Raia, na pia hana Green card na visa atakayoenda nayo ni "non-immigrant visa".
Grene card /permanent residn ataipata kwa njia ya Ndoa au Lottery etc. Lakini sio Elimu
 
Kwanza jamaa anaitwa EBM na siyo IBM,jamaa huyu anaongea mambo mengi sana lakn yote ni magumu sana kwa wa Tz,anaongelea scholarship zenye masharti ya IELTS na TOEF yaani kiufupi yupo more complicated sana hana plan B kabisa.
Ndio uhalisia mkuu, hata ukitaka kwenda canada or UK kusoma , kama unatoka nchi ambayo wanaongea lugha tofauti na Eng, watahitaji IELTS (mtihani wa kingereza ) na vyuo baadhi hata kama hujapiga mtihani kwao its okay! , kwa US pia wengine watahita TOEFL,
Na ukipata full scholarship vyuo vingine utalipiwa gharama za kufanya hiyo mitiahani au uslipiwe!
 
Kwasababu ni partial scholarship
Kwenye kuomba visa wataangalia , scholarship yako ina cover nini?

Hakikisha una account ya bank inayofanya transaction ,sio account ipo dormant then siku moja tu umediposit mkwanja mrefu

Itakusaidi kwenye bank statement!

Fanaya kila uwezalo upate pesa mkuu, uza hata mali zako , kama unahisi kabisa ndoto zako ni kwenda kuishi na kusaka life huko!

hizo scholarship ni kama vita kupata ni bahati tu lazima uwe aggressive ... *unashindana na watu kutoka nchi nyingi sana *

Na kwenye visa interview lazima uwahakaikishie utakapo maliza masomo yako , kuwa ni yako ni kurufi bongo kuitumia elimu uliyoipata huko , wakikuhoji tu na kuhidi unataka kuzamia mazima huko unawe,a nyimwa visa
 
Kwasababu ni partial scholarship
Kwenye kuomba visa wataangalia , scholarship yako ina cover nini?

Hakikisha una account ya bank inayofanya transaction ,sio account ipo dormant then siku moja tu umediposit mkwanja mrefu

Itakusaidi kwenye bank statement!

Fanaya kila uwezalo upate pesa mkuu, uza hata mali zako , kama unahisi kabisa ndoto zako ni kwenda kuishi na kusaka life huko!

hizo scholarship ni kama vita kupata ni bahati tu lazima uwe aggressive ... *unashindana na watu kutoka nchi nyingi sana *

Na kwenye visa interview lazima uwahakaikishie utakapo maliza masomo yako , kuwa ni yako ni kurufi bongo kuitumia elimu uliyoipata huko , wakikuhoji tu na kuhidi unataka kuzamia mazima huko unawe,a nyimwa visa
Ahsante kwa ushauri Mkuu.
 
mkuu huko Asia ulipokuwa unapiga kazi ,emu niuunge au ulifanyaje kupata connections?

mimi niko nchi jirani napiga kazi ila nataka niende mbele zaidi
Mkuu nisikuvunje moyo, jaribu kutafuta connection kwa ma agent wa kazi za nje hasa nchi za Uarabuni unaweza kupata, japo charging fee yao ni kubwa pia.

Ningekuwa na connection ya uhakika me mwenyewe ningeweza kurudi huko kirahisi, lakini miaka miwili siko huko connection yake inakuwa ngumu, wengi kati ya marafiki zangu waliondoka kipindi cha COVID na wengi hawajarudi huko hadi leo.

Ikiwa umesoma vyema maelezo yangu, utaona mahali nimeendika haya yafuatayo;

"Nikabaki na 1.5 M, nikasafiri kuelekea Dar, huko nina mshikaji mwingine, kufika Dar mradi nina pesa nikatafuta wakala (Agent) wa kazi za Arabia (Qatar), nikaenda ofisini kwake Kariakoo, tukaandikishana, nika submit documents alizohitaji pamoja na agency fee 500K. Akaanza kunizungusha sana mwisho wa siku nikajua tu nimepigwa, nikamshukuru Mungu, nika move on, mfukoni ikabaki 900K."

Mwisho kabisa, jaribu kutafuta TRAVEL AGENCY inaitwa ZAM ZAM wana office yao Kariakoo, nenda ongea nao pengine wanaweza kukusaidia (sina uhakika).
 
Mkuu tatizo ni kukosekana kwa uaminifu baina ya watu, umaskini na ufinyu wa mawazo, hii imenikuta hata mimi zaidi ya mara mbili, kila nikijaribu kumuomba mtu awe sponsor wangu, na kunisaidia bank statement inaruka 100 miles. Wengi wanadhani pesa inaweza chukuliwa kwenye account na hofu nyinginezo, ni changamoto kubwa sana kufanikiwa, hasa katika jamii zetu hizi.
Kwa uzoefu wangu na nilichokiona ni kwamba sio wote waliofanikiwa kupata us visa walienda ama hua wanaenda na bank statement yenye kiwango halisi cha pesa, kikubwa account ya bank iwe ya ukweli yaan iwe active then inatengenezwa kwa kuongezewa hela, during the interview consular officer anaweza kukuomba na kupitisha macho kwa kuangalia amount iliyopo then anakurudishia. narudia kikubwa account iwe active, wapo watu hua wanaziongezea ela, na wengi wamefanikiwa na kupata visa. kwa reference wapo pia nawajua walofanya ivo na visa zao zikawa approved
 
Back
Top Bottom