USHAURI: Mwanaume mwenye huyu mwanamke, mwambie afunge akaunti yake fb kwa usalama wako

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Jamani, wakati tukisheherekea muungano wetu nimeona fb nikakutana na huyu mwanamke (nimeweka picha 6). Yaani nilistuka sana. Inakuwaje ewe mwanaume unamruhusu amiliki simu,tena smart phone mpaka anaingia fb hivi jamani?

Umemchoka? Au unawaonesha wanaume kwamba we una chombo?

Yaani ukiingia inbox, anakuja fasta. Kwann usimshauri akaachana na matumizi ya simu hizi za kisasa?

Chunga mzigo wako.


FB_IMG_1493223363459.jpg
FB_IMG_1493223206411.jpg
FB_IMG_1493223199316.jpg
FB_IMG_1493223187985.jpg
FB_IMG_1493223179915.jpg
FB_IMG_1493223165309.jpg
 
Hebu acheni kelele mleta hoha huyu mdada anaptikana kwa jina gani am extremely interested and i do not give a heck about her partner but surely i will add value to that kid if it is hers!
 
Jamani, wakati tukisheherekea muungano wetu nimeona fb nikakutana na huyu mwanamke (nimeweka picha 6). Yaani nilistuka sana. Inakuwaje ewe mwanaume unamruhusu amiliki simu,tena smart phone mpaka anaingia fb hivi jamani?

Umemchoka? Au unawaonesha wanaume kwamba we una chombo?

Yaani ukiingia inbox, anakuja fasta. Kwann usimshauri akaachana na matumizi ya simu hizi za kisasa?

Chunga mzigo wako.


View attachment 501495View attachment 501496View attachment 501497View attachment 501499View attachment 501500View attachment 501501
FB_IMG_1493224727358.jpg
FB_IMG_1493224727358.jpg
 
Mbuzi anakaribia kumezwa na chatu.
Hili jinga litaibiwa mpaka lilie. Eti linamuona huyo demu ndo mjingaa kumbe lenyewe ndo linaingia kingi.

Haki ya Mungu mimi sipatikani kirahisi nna hii.

Hauoni hata picha nyingine ni za kudownload toka mtandaoni hizo???
 
Kwa kizazi hiki cha Smartphone, ukimkataza habari za mitandao, ndoa itakuwa matatani.
Lkn ipo siku atajitambua umuhimu wake kwa mumewe.
Pia matapeli nao wengi, yawezekana wanazitumia kuwakamata watu wenye uchu na warembo.
 
Back
Top Bottom