Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,267
- 5,601
maudhi matupu
maudhi matupu
Yaanimaudhi matupu
Miaka mi 5 bado hajafanya maamuzi ya kuoa au la inawezekana mwanamke anataka kujiongeza mana hamuelewi jamaa.Na kingine mwanamke mjamzito kwenda kutoa mzigo kwa mtu mwengine ambae si aliyempa ujauzito, mhhHujatendwa wewe
Mnaishi kisimbe unashindwa kufanya maamuzi
Na ushahidi unao? Umechokwa hujiongezi tu? We mpango wako ni upi kwanza?
Walahi nisipomkuta peponi huyu naandamana kumlaumu Mungu si kwa moyo huu.Kaka mbingu unaiona kabisa
Ni makosa ya kiuandishi yapuuzie rudi kwenye madaPaka
cjawahi
kuchit
paka
kwaluzana
lakn
buz
Ila mkuu Kuna watu unaweza kudhani kwamba wamelishwa nyama aiseeUnapaswa utandikwe viboko na member wote wa jf, hii itakusaidia kufunguka akili na kujifunza kutafakari mambo kabla ya kuomba ushauri Ga'dem it...
Mapenzi hayashauriwi mkuuNi makosa ya kiuandishi yapuuzie rudi kwenye mada
Mkuu..umefungwa pingu?Habari wana JF
Kwanza nitangulize shukrani kwa yeyote aliyefungua uzi huu. Nina changamoto sana katika swala la mahusiano kwa mwanamke niliyekutana nae Dar na kuanzisha mahusiano. Tumedumu katika mahusiano kwa kipindi cha Miaka 5, muda huo wote tulikua tukiishi wote lakini atujaona. Na mwaka jana mwishoni tulibahatika kupata mtoto wa kike paka sasa mtoto ametimiza mwaka mmoja.
Twende kwenye Mada, Wakati nikiwa na uyo mwanamke alikua akinichit bila kujua. Lakin kunakipindi nilishtukia mambo yake nikaamua kuitrack simu yake. Nilingundua vitu vingi sana. Nikagundua ananisaliti nikapiga kimya. Sikuongea chochote. Siku moja usiku nimetoka kazini nakumbuka siku iyo niliondoka nyumban kwenda kazin hatukuwa sawa tulikwaluzana kwa mambo mengine kabisa. Niliporud usiku muda was kulala nikaenda kulala nikawanimemuacha sitting room nikochumbani muda sijui kinachoendelea huko nikatoka kwa kushtukiza nikakuta anachat na mwanaume mbaya zaidi nilingundua alishazini nae. Nakumbuka kutokana na jazba nilimpiga cjawai kumpiga but nilimpiga Sana, lakn yaliisha tukafanya suruhu yakaisha. Kwa kifupi uyu mwanamke mkikwazana kidogo yeye anachojua ni kuchit. Hata mbali na kuchit anaweza kukufanyia vituko tu ukasilike.
Tumeendelea na hayo maisha paka akapata ujauzito. Kipind Cha ujauzito. Kanichiti pia Mara kibao akiwa na mimbaa yangu paka nikajiuliza hivi iyo mimbaa no yangu kweli. Ukizingatia najituma kumtimizia mahitaji yake Kama mwanamke lakn mwenzangu yeye mkwazane anachojua kuchit. Wakati waujauzito nilingundua kalala na mwanaume siku iyo alikua anasubir nitoke niende kazini lakni wakati najiandaa nilikua namsemesha mwenzangu Yuko buz na simu kuchat. Nilipomkonya simu niliona anachat na mwanaume anasubir nitoke akalale nae mbaya Zaid mwanaume uyo anaforce aje kulala nae kwangu.
Nitaendeleza baadae kidogo nistor ndefu. Nahitaji ushauri
Hii nayo yaweza kua sababu. Bi dada anataka ndoa huyo ndomana analeta drama.Mnaishi bila Ndoa for 5 years
Huyo mwanamke ni Msimbiti namjuaHuyo mwanamke ni kabila gani ? Kwanza tuanzie hapo!!!!
SawaMapenzi hayashauriwi mkuu