Jamani kwema,
Mimi ni mwanamke nimeolewa na tuna miaka kumi kwenye ndoa na mume wangu,tuna watoto 4,wakike wawili na kiume wawili. Jamani naombeni msaada wenu mume wangu amekua cha pombe mbaya.
Utadhani anazioga na anarudi nyumbani alfajiri yuko tungi hata hanijali tena na watoto, mi nafanya kazi kwenye taasisi moja siitaji mume wangu pia anafanya kazi wote tumeajiriwa sehemu tofauti.
Lakini mume anapenda tendo la ndoa mno kila akirudi alfajiri lazima tufanye na tunachelewa kufika maofisini na foleni ya Dar kila siku barua ya onyo nimechoka na hii hali.
Jamani nifanyeje apunguze pombe maanayake inakwamisha maendeleo,atalewa laki 3 anarudi nyumbani bila hata mia nahudumia familia mwenyewe naelemewa.
Nisaidieni ushauri jamani
Mimi ni mwanamke nimeolewa na tuna miaka kumi kwenye ndoa na mume wangu,tuna watoto 4,wakike wawili na kiume wawili. Jamani naombeni msaada wenu mume wangu amekua cha pombe mbaya.
Utadhani anazioga na anarudi nyumbani alfajiri yuko tungi hata hanijali tena na watoto, mi nafanya kazi kwenye taasisi moja siitaji mume wangu pia anafanya kazi wote tumeajiriwa sehemu tofauti.
Lakini mume anapenda tendo la ndoa mno kila akirudi alfajiri lazima tufanye na tunachelewa kufika maofisini na foleni ya Dar kila siku barua ya onyo nimechoka na hii hali.
Jamani nifanyeje apunguze pombe maanayake inakwamisha maendeleo,atalewa laki 3 anarudi nyumbani bila hata mia nahudumia familia mwenyewe naelemewa.
Nisaidieni ushauri jamani