Ushauri: Mpenzi wangu amebadilika

Ushauri: Mpenzi wangu amebadilika

iampizooh

Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
46
Reaction score
37
Nina mpenzi wangu nasoma nae chuo kimoja mwaka wa 1 tulivyoenda likizo amebadilka sana hana mda wa kuchat na mimi nikichat nae basi SMS tano mwisho anasema kazi nyingi.

Tulivyorudi likizo nikakuta SMS za mapenzi kwenye simu yake za kutongozwa na amekubali lakini amekiri kosa.

Nini nifanye wadau wangu naombeni ushauri please.
 
Nina mpenz wangu nasoma nae chuo kimoja mwaka wa 1.....tulivyoenda likizo amebadilka sana....hana mda wa kuchat na mimi nikichat nae bas sms tano mwisho anasema kazi nyingi...tulivyorudi likzo nikakuta sms za mapenz kweny sim yake za kutongozwa na amekubali....Lakini amekiri kosa anaomba msamaha nini nifanye wadau wang naombeni ushauri plz
Msamehe...
 
Kama ni mara yake ya kwanza msamehe,lakini kuwa makini nae sana chief
 
Polee sanaa mzee maana hawezi kuacha ilaa atajitahidi Usizione tena hizo msg...!! Mkiwa chuo mpo wote akirudi kwao jamaa atamlaa tuu labda uende nae kwaoo...

100% sure kubali wew ulee akiwa chuo akirudi kwao jamaa amlee otherwise MUACHEE...!!
 
Polee sanaa mzee maana hawezi kuacha ilaa atajitahidi Usizione tena hizo msg...!! Mkiwa chuo mpo wote akirudi kwao jamaa atamlaa tuu labda uende nae kwaoo...

100% sure kubali wew ulee akiwa chuo akirudi kwao jamaa amlee otherwise MUACHEE...!!
Daah asante kaka....
 
Wasichana wanazngua kisengee asee.....namwambia ajikatae niishi life langu tuu
 
soma mapenzi na shule wapi na wapi isitoshe maisha ya sasa ni tata so mtu akikuzingua search mpya shida nini ukimsamehe ni kazii bure maana tabia kashazoea.
utamsamehe atafanya anajua utamsamehe.
wewe soma tafuta hela kama ni wasichana wapo tu hata sisi wadada tunasoma kwa bidii kwa maana kama mume yupo tu.
je ukifeli kisa ujinga tu .
naumekopa?
fight for agood future mke yupo tu maana kila kitu Mungu ndiye anapanga sio wewe.
 
Tambua kuwa ni wako mkiwa chuo ikifika likizo usiumize moyo utakuja u disco bure
 
Usimulaumu maana secondary alikuwa anabanwa sana na sasa chuo ndo mwaka wa kwanza muache ale ujana kwa radha tofauti
 
Subiri mmalize shule. Mapenz mtayakuta uraiani. Mtayaishi had mshindwe nyinyi.
 
Nina mpenz wangu nasoma nae chuo kimoja mwaka wa 1.....tulivyoenda likizo amebadilka sana....hana mda wa kuchat na mimi nikichat nae bas sms tano mwisho anasema kazi nyingi...tulivyorudi likzo nikakuta sms za mapenz kweny sim yake za kutongozwa na amekubali....Lakini amekiri kosa anaomba msamaha nini nifanye wadau wang naombeni ushauri plz
mpende hivyo hivyo tu
 
Ebu soma. Endekeza mapenzi usiingie mwaka wa pili
 
ndgu soma kwanza hao wapo maisha yakikushinda atakukimbia hyo,soma ujenge maisha pia mwanamke si wakushindana nae mwenzio anaweza kuongwa hta kitu cha thamani we ukabaki na ukapuku wako.
 
Mko mwaka wa 1... Basi hapo jiandae kuripot humu kila mwezi kwa ushauri.
Hawa wadada akili zao zinashawishika sana..
Msome kwanza km akirudia mteme afu tulia usome
 
Soma kijana,mapenzi yapo tu utayakuta utayachokaa
‍♀️
 
Back
Top Bottom