xtaper
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 3,319
- 4,710
Habarini wakuu
Naomben ushauri wenu niko njia panda sielewi nifanyaje.
Kuna binti fulani ni rafiki kwangu lakini ameolewa ila anadai ananipenda sana na kudiriki kusema anajiskiaga vibaya akiniona na mwanamke mwengine. Nifanyaje wakuu ukizingatia na mimi nilikuwa namtamani enzi akiwa hajaolewa?
Naomben ushauri wenu niko njia panda sielewi nifanyaje.
Kuna binti fulani ni rafiki kwangu lakini ameolewa ila anadai ananipenda sana na kudiriki kusema anajiskiaga vibaya akiniona na mwanamke mwengine. Nifanyaje wakuu ukizingatia na mimi nilikuwa namtamani enzi akiwa hajaolewa?