laptop90
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,827
- 2,297
Kutokana na hali halisi na kwa kuzingatia Mengi amegusa watu wengi ktk nchi hii, basi watu wengi wangependa kumuaga kwa makundi tofauti.
Kwa maono yangu Karimjee hapatoshi kuhimili idadi ya watu wataopenda kutoa heshima za mwisho, karimjee kuna hali ya kaubaguzi wa aina ya watu kuingia hivyo kufanya watu wachache waweze kumuaga.
Kwa muktadha huo kamati inayojihusisha na mazishi yake ipeleke mwili uwanja wa taifa ili kila mtu aweze kuaga.
Kwa maono yangu Karimjee hapatoshi kuhimili idadi ya watu wataopenda kutoa heshima za mwisho, karimjee kuna hali ya kaubaguzi wa aina ya watu kuingia hivyo kufanya watu wachache waweze kumuaga.
Kwa muktadha huo kamati inayojihusisha na mazishi yake ipeleke mwili uwanja wa taifa ili kila mtu aweze kuaga.