Ushauri: mchumba wangu hata sielewi....

Ushauri: mchumba wangu hata sielewi....

Uchumba sugu nao, miaka mitatu unamchunguza tu? Huku kwetu umasaini ukipewa mtamba wenye mimba unafurahia, mlipie mahari umuoe fasta
 
Huenda ni yako kuna jama moja mumarekani alirudi home kutoka vita vya Iraq baada ya miaka 5 akafurahi kumkuta mkewe ana mtoto wa miaka miwili. Nahajawi kuka nae kipindi hicho chote Tena alisema 'Am so happy to find my baby in good health' vitu vingene vya kupotezea maisha yayendelee.
Kibongo bongo unapotezea na mausiano yanakatika hapohapo, ukileta uzo za ki america mtatuona mazuzu sana
 
Pole Mkuu. Weka picha yake tumuone. Xmass njema
IMG_20160206_081130.jpg
hapo yakiwa bado ya moto.
 
Mkuu, pole kwa yote, kubaliana na hali, msamehe, songa mbele na maisha yako.
Nahisi hyo mtoto hata nikimsamehe tukarudiana atakuwa kumbukumbu mbaya maishani mwangu
 
Huenda ni yako kuna jama moja mumarekani alirudi home kutoka vita vya Iraq baada ya miaka 5 akafurahi kumkuta mkewe ana mtoto wa miaka miwili. Nahajawi kuka nae kipindi hicho chote Tena alisema 'Am so happy to find my baby in good health' vitu vingene vya kupotezea maisha yayendelee.
Huenda ni yako kuna jama moja mumarekani alirudi home kutoka vita vya Iraq baada ya miaka 5 akafurahi kumkuta mkewe ana mtoto wa miaka miwili. Nahajawi kuka nae kipindi hicho chote Tena alisema 'Am so happy to find my baby in good health' vitu vingene vya kupotezea maisha yayendelee.


Don't lie. I wsh i ngekuwa yngu
 
Huenda ni yako kuna jama moja mumarekani alirudi home kutoka vita vya Iraq baada ya miaka 5 akafurahi kumkuta mkewe ana mtoto wa miaka miwili. Nahajawi kuka nae kipindi hicho chote Tena alisema 'Am so happy to find my baby in good health' vitu vingene vya kupotezea maisha yayendelee.
Huenda ni yako kuna jama moja mumarekani alirudi home kutoka vita vya Iraq baada ya miaka 5 akafurahi kumkuta mkewe ana mtoto wa miaka miwili. Nahajawi kuka nae kipindi hicho chote Tena alisema 'Am so happy to find my baby in good health' vitu vingene vya kupotezea maisha yayendelee.


Don't lie. I wsh i ngekuwa yngu
 
U
mwambie hivi:
Huyo aliyekujaza tumbo aendelee kukukojolea tu, kwanza mi nilikosea we siyo saizi yangu, natafuta Bikira, sitaki li changu doa!!

kisha anza kusoti 18+
Ushauri mzuri maybe I can use it. Thx
 
Kwani hujui hii ni sikukuu mkuu labda ameshiba pilauuu na Pepsi baridiii
Kwangu Imekuwa cku mbaya kiwnyama. Anytime narudi zangu dar maana washanivunga
 
G
Dah pole ndugu ..inauma for sure. But mshukuru Mungu then songa mbele..alifanya kwa makusudi ama kwa bahati mbaya, karma will say.
We mpe nafasi aongee na kujieleza na usihamaki wala kua na hasira,msikilize hadi mwisho ..sasa utaamua umjibu au uondoke zako kwa amani.
ngoja nijaribu
 
Mkuu wewe baada ya kushukuru kwa Mungu kukuonyesha rangi halisi ya huyo dada wewe ndio unakuwa na huzuni? Furahi na mshukuru Mungu sana kwa kukuwekea wazi huyo kabla ya kufunga ndoa
 
Back
Top Bottom