ynnobygger
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 213
- 200
Wanaume wenye mbegu zao washafamya mambo?
Inawezekana alitoa sperm wakazitunza wakati anaondoka,sio bongoHuenda ni yako kuna jama moja mumarekani alirudi home kutoka vita vya Iraq baada ya miaka 5 akafurahi kumkuta mkewe ana mtoto wa miaka miwili. Nahajawi kuka nae kipindi hicho chote Tena alisema 'Am so happy to find my baby in good health' vitu vingene vya kupotezea maisha yayendelee.
Hahahha Hapana jam alijua wife kacheat ila kapotezea kwa vile alikua anampenda sana mkewe. Sio hapa bongo mtoto na mama wangeuawa alafu naye mweneyewe anywe sumu.Inawezekana alitoa sperm wakazitunza wakati anaondoka,sio bongo



Nnamchumba huu mwaka wa 3, pasaka ya mwaka huu alienda Dom kwa dadake kabla hajarudi home Mwanza mi channel's zangu zkasoma dar.. Bas nikamtaarfu nikasepa zangu.juz tu ndo nmeingia kitaa. Jana nikatimba home kwao kumchek tu....... Kasha JAZWA kitumboo ndiii.
Niligeuka bila hata salamu kaja mpaka home wnadai eti tuongee seriously sijui lakufanya. SKU kuu kwangu naiona chungu mpaka mida hii nmejilaza tuu.
Utani huuHuenda ni yako kuna jama moja mumarekani alirudi home kutoka vita vya Iraq baada ya miaka 5 akafurahi kumkuta mkewe ana mtoto wa miaka miwili. Nahajawi kuka nae kipindi hicho chote Tena alisema 'Am so happy to find my baby in good health' vitu vingene vya kupotezea maisha yayendelee.