Ushauri: Mchepuko una mimba yangu

Ushauri: Mchepuko una mimba yangu

Kwanini haukuuambia ukweli kuwa haujamuacha mkeo
 
Naomba msaaada kwa hili.

Mimi nina mke wangu ambae yupo mbali alikuwa mama wa nyumbani nikamfanyia mpago wa chuo amesoma amefanikiwa kupata kazi mkoani mimi sasa wakati yuko chuo nilikuwa na mchepuko wangu si unajua huyu ulinipokea nilipopewa uhamisho toka Dar kwenda eneo jipya la kazi.

Mchepuko wangu ulijua mimi sina mke wakati family yangu ilikuwa Dar baada ya muda mke wangu alikuja kukaa na mimi mwaka 1, nikaona nimpeleke chuo hakuna aliyejua kwamba mke wangu yuko wapi maana alinichia mtoto mdogo, majirani wakaanza kusema nimemfukuza mke wangu wala sikujali hilo.

Sasa kipindi hicho yule mchepuko nilikuwa nimeachana nao sasa baada ya kusikia nimeachana na mke wangu ukarudi kwa kasi sana nami nikaendelea nao kumbe sikujua nafanya kosa ukaanza kusema nimuoe nikajitambulishe kwao mwanangu anafahamu?

Sasa mchepuko una mimba daah! Hili balaa na mke wangu anakuja mwezi ujao na mchepuko unalazimisha niende kwao na mke wangu napenda sana kutoa mimba haiwezekani ila mimi nimemwambia nipo tayari kutoa huduma zote nimnunulie kiwanja hataki anataka kuolewa tu hajui kama nipo na mke wangu.

Nifanyeje wandugu?

Figisu figisu ufanye mwenyewe, ushauri tutoe sie....
 
Fanya awe wa pili tu shida hakuna. Si usukumani tunaweka mpaka kumi na kuendelea. Na mbali na hali hiyo ya sasa huwezi sema unampenda mkeo na wakati ulikuwa unamsaliti. Kuww nwanaume kwakuweka kila kitu wazi kwa mkeo mwambie kwamba tamaa zako zilikuponza mpaka ukaanguka dhambini kwakuweka wazi jambo lako hili kwa mkeo atakusamehe tena bila masharti ingawaje vigezo ni lazima vizingatiwe
 
uandishi wako una hitaji muda mtu akuelewe
Naomba msaaada kwa hili.

Mimi nina mke wangu ambae yupo mbali alikuwa mama wa nyumbani nikamfanyia mpago wa chuo amesoma amefanikiwa kupata kazi mkoani mimi sasa wakati yuko chuo nilikuwa na mchepuko wangu si unajua huyu ulinipokea nilipopewa uhamisho toka Dar kwenda eneo jipya la kazi.

Mchepuko wangu ulijua mimi sina mke wakati family yangu ilikuwa Dar baada ya muda mke wangu alikuja kukaa na mimi mwaka 1, nikaona nimpeleke chuo hakuna aliyejua kwamba mke wangu yuko wapi maana alinichia mtoto mdogo, majirani wakaanza kusema nimemfukuza mke wangu wala sikujali hilo.

Sasa kipindi hicho yule mchepuko nilikuwa nimeachana nao sasa baada ya kusikia nimeachana na mke wangu ukarudi kwa kasi sana nami nikaendelea nao kumbe sikujua nafanya kosa ukaanza kusema nimuoe nikajitambulishe kwao mwanangu anafahamu?

Sasa mchepuko una mimba daah! Hili balaa na mke wangu anakuja mwezi ujao na mchepuko unalazimisha niende kwao na mke wangu napenda sana kutoa mimba haiwezekani ila mimi nimemwambia nipo tayari kutoa huduma zote nimnunulie kiwanja hataki anataka kuolewa tu hajui kama nipo na mke wangu.

Nifanyeje wandugu?
 
Naomba msaaada kwa hili.

Mimi nina mke wangu ambae yupo mbali alikuwa mama wa nyumbani nikamfanyia mpago wa chuo amesoma amefanikiwa kupata kazi mkoani mimi sasa wakati yuko chuo nilikuwa na mchepuko wangu si unajua huyu ulinipokea nilipopewa uhamisho toka Dar kwenda eneo jipya la kazi.

Mchepuko wangu ulijua mimi sina mke wakati family yangu ilikuwa Dar baada ya muda mke wangu alikuja kukaa na mimi mwaka 1, nikaona nimpeleke chuo hakuna aliyejua kwamba mke wangu yuko wapi maana alinichia mtoto mdogo, majirani wakaanza kusema nimemfukuza mke wangu wala sikujali hilo.

Sasa kipindi hicho yule mchepuko nilikuwa nimeachana nao sasa baada ya kusikia nimeachana na mke wangu ukarudi kwa kasi sana nami nikaendelea nao kumbe sikujua nafanya kosa ukaanza kusema nimuoe nikajitambulishe kwao mwanangu anafahamu?

Sasa mchepuko una mimba daah! Hili balaa na mke wangu anakuja mwezi ujao na mchepuko unalazimisha niende kwao na mke wangu napenda sana kutoa mimba haiwezekani ila mimi nimemwambia nipo tayari kutoa huduma zote nimnunulie kiwanja hataki anataka kuolewa tu hajui kama nipo na mke wangu.

Nifanyeje wandugu?
Duh ....ila statements naona c rafiki kwangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom