suala la michepuko ishakuwa kama fasheni hivi, badilikeni bhana kwann unailetea simanzi familia yako kwa kutaka mambo ya kuendana na wakati (kumbe ni ujinga mtupu), wewe unadhani nini hatma ya familia yako sasa, mkeo alikuwa anakuheshimu sasa atakuona u mnyama wa mwitu.....binafsi sina cha kukusaidia ila naomba wanaume tujifunze , unapoingia ktk ndoa maanisha hasa kwa kile unachoingia sio huku nje ndani, mkuu hapo huyo mchepuko ukimuacha si atakujia kwa vita hata vya kishirikina,tujiepusha na matatizo mengine mpaka sasa ushaleta tatizo ktk ndoa yako, wakwe zako watakudharau hata ukienda kuwasalimu watakuwa wanakunyooshea vidole hata heshima haitakuwepo tena