Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,419
- 104,867
Mkuu yaani hicho ki-ingereza unamaanisha hicho kitendo ninacho kifanya kabla ya kuoga, na chuchumaa kisha nalikata, alafu napangusa najisafisha wakati wa kuogaYaani..shit

Mkuu yaani hicho ki-ingereza unamaanisha hicho kitendo ninacho kifanya kabla ya kuoga, na chuchumaa kisha nalikata, alafu napangusa najisafisha wakati wa kuogaYaani..shit

Haya maneno ya mkoloni ni mafupi, lakini hua nikitafakari yananipa maana ndefu sana aiseeeeYaani..shit

Sio kwa uandishi huo loh... Mshauri basi best mie nmekosa cha kumshauriKwa uandishi huu ndugu!
Msamehe bure. Hapo halipo kachanganyikiwa. Si unaona kaweka alama za kuuliza mahali ambapo hapatakiwi.Kwa uandishi huu ndugu!
Hata sioni la kusema jamaniSio kwa uandishi huo loh... Mshauri basi best mie nmekosa cha kumshauri
Si wanashabikiaga michepuu! Acha wavune wapandachoMsamehe bure. Hapo halipo kachanganyikiwa. Si unaona kaweka alama za kuuliza mahali ambapo hapatakiwi.
Mchepuko ni noma, waliosema baki njia kuu hawakukosea. They are right. Ngoja akione cha mtema kuni
Kweli dadaSi wanashabikiaga michepuu! Acha wavune wapandacho
hhahahahahaaaWw toroka na mchepuko mwende mbali coz inaonekana haumpend mkeo
umeonae!! yaan anaishi na mchepuko nyumbani na kutumia kitanda cha mkewe? dah wanaume wengine sijui akili zao zikoje?Uko serious unampenda mke wako sanaaaa au umeamua tu kujitoaufaham, ungempenda mkeo ungealika mchepuko uje ukae nao tena bila aibu unaishi na mwanao. Hamna namna, inabidi ulipie gharama ya maamuzi yako mkuu, kiufupi unaupenda huo mchepuko kuliko mkeo.