Missandei
Member
- Apr 21, 2023
- 58
- 87
Heri ya krismasi wakuu.
Ni hivii nimepata mtaji tsh laki 2 Nina mpango wa kuanza biashara ya chupi nipo dar sasa bado sijajua naziuzaje na wapi yani inshort sijawahi kufanya hiyo biashara au biashara yoyote
Mwenye uzoefu naombeni mawazo yenu naanzaje kwa mtaji huo
Ni hivii nimepata mtaji tsh laki 2 Nina mpango wa kuanza biashara ya chupi nipo dar sasa bado sijajua naziuzaje na wapi yani inshort sijawahi kufanya hiyo biashara au biashara yoyote
Mwenye uzoefu naombeni mawazo yenu naanzaje kwa mtaji huo