Hakuna ubishi kuwa stendi ya Magufuli iliyoko Mbezi ndio kitovu cha usafirishaji ktk Jiji la DSM,.
Daladala kutoka katika pembe zote za Jiji la DSM zinaingia Mbezi kupeeleka na kuchukua abiria.
Changamoto iliyopo ni Barbara za ushoroba zinazo ingia Mbezi hazitoshelezi.
Utafiti unaonyesha kuwa Barbara zinazopitika ni;
1. Madale/goba hadi Mbezi.
2. Majumba sita/kinyerezi/maramba hadi Mbezi.
3. K.koo/Moro road hadi Mbezi.
Barbara zifuatazo ni muhimu zijengwe kwa kiwango Cha lami ili kurahisisha usafiri kwa wananchi wa maeneo mengine waweze kufika kwa urahisi;
1. Barbara ya mapinga/kidimu/kibaha hadi Mbezi.
2. Barbara ya Kisarawe/makurunge/kiluvya hadi Mbezi.
Barbara hizi ni muhimu zijengwe haraka ili kupungiza adha kwa wananchi wa maeneo hayo.
Daladala kutoka katika pembe zote za Jiji la DSM zinaingia Mbezi kupeeleka na kuchukua abiria.
Changamoto iliyopo ni Barbara za ushoroba zinazo ingia Mbezi hazitoshelezi.
Utafiti unaonyesha kuwa Barbara zinazopitika ni;
1. Madale/goba hadi Mbezi.
2. Majumba sita/kinyerezi/maramba hadi Mbezi.
3. K.koo/Moro road hadi Mbezi.
Barbara zifuatazo ni muhimu zijengwe kwa kiwango Cha lami ili kurahisisha usafiri kwa wananchi wa maeneo mengine waweze kufika kwa urahisi;
1. Barbara ya mapinga/kidimu/kibaha hadi Mbezi.
2. Barbara ya Kisarawe/makurunge/kiluvya hadi Mbezi.
Barbara hizi ni muhimu zijengwe haraka ili kupungiza adha kwa wananchi wa maeneo hayo.