fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,415
- 7,968
Wenye vibamia wote,msiwe na hofu fanye ni haya:
1. Jifunzeni sana romance na muwe mnafanya sana sana romance kwa muda mrefu na kwa kila staili.
2. Fanyeni sana mazoezi iki muwe na stamina ya kulifanya tendo la ndoa kwa muda mrefu sana
kwa njia hizo mtanusuru mahusiano na wenza wenu.
1. Jifunzeni sana romance na muwe mnafanya sana sana romance kwa muda mrefu na kwa kila staili.
2. Fanyeni sana mazoezi iki muwe na stamina ya kulifanya tendo la ndoa kwa muda mrefu sana
kwa njia hizo mtanusuru mahusiano na wenza wenu.