Naomba kutoa ushauri wangu kwa waziri wa Mifugo na Uvuvi kuhusu upungufu wa samaki ziwa victoria , Tanganyika na ziwa Nyasa .
1. Umuhimu wa uvuvi.
Kama tunavyofahamu uvuvi ni biashara kubwa sana kwa wakazi wa pembezoni mwa maziwa yote makuu , nchi zingine hadi kwenye mito, Tanzania tuna bahati tuna mpaka bahari ya hindi yenye pwani ya kilometa 1600.
2. Uvuvi ni chanzo bora sana cha protein , najua wengi mnajua faida nyingi za samaki na biashara hii naomba nije moja kwa moja kushauri kuhusu suluhu ya kukosa samaki.
Suluhu.
1. Kuwalisha samaki , Nashangaa sana kwa nini tunakuwa hatuwazi nje ya box kwa nini samaki wanapungua? uhakika ni kuwalisha samaki kwa chakula maalum cha samaki. Je kitatoka wapi na nani wa kugharamia
Jibu.
Pembeni mwa kila ziwa kuwe na viwanda vitakavyosimamiwa na halmashauri husika , vitumie ushuru unaotokana na uvuvi , kwa nini tutoze ushuru bila kurudisha kidogo itunze hao wanaokupa hizo hela?
2. Wajasiriamali binafsi au JKT waruhusiwe kuanzisha viwanda vya vyakula vya mifugo na kulipwa na halmashauri robo ya mapato yote yaende kuwanunulia samaki chakula na kukisambaza kwenye maziwa .
3. Kutengeneza maeneo ya mboji na kuzalisha fungi na algae mengi mno ndani ya maziwa na mito hii itasaidia sana sana kujaza samaki ziwani.
4. Kuhusu kusimamia uvuvi haramu ni rahisi sana wavuvi wenyewe wawe ma informer ukitoa taarifa unapata zawadi milioni 20 na fine kwa mhusika iwe milioni 100 ili mamlaka ipate na hela za kujiendesha , kama mhusika hana afilisiwe mali zake na kama hana afungwe maisha
1. Umuhimu wa uvuvi.
Kama tunavyofahamu uvuvi ni biashara kubwa sana kwa wakazi wa pembezoni mwa maziwa yote makuu , nchi zingine hadi kwenye mito, Tanzania tuna bahati tuna mpaka bahari ya hindi yenye pwani ya kilometa 1600.
2. Uvuvi ni chanzo bora sana cha protein , najua wengi mnajua faida nyingi za samaki na biashara hii naomba nije moja kwa moja kushauri kuhusu suluhu ya kukosa samaki.
Suluhu.
1. Kuwalisha samaki , Nashangaa sana kwa nini tunakuwa hatuwazi nje ya box kwa nini samaki wanapungua? uhakika ni kuwalisha samaki kwa chakula maalum cha samaki. Je kitatoka wapi na nani wa kugharamia
Jibu.
Pembeni mwa kila ziwa kuwe na viwanda vitakavyosimamiwa na halmashauri husika , vitumie ushuru unaotokana na uvuvi , kwa nini tutoze ushuru bila kurudisha kidogo itunze hao wanaokupa hizo hela?
2. Wajasiriamali binafsi au JKT waruhusiwe kuanzisha viwanda vya vyakula vya mifugo na kulipwa na halmashauri robo ya mapato yote yaende kuwanunulia samaki chakula na kukisambaza kwenye maziwa .
3. Kutengeneza maeneo ya mboji na kuzalisha fungi na algae mengi mno ndani ya maziwa na mito hii itasaidia sana sana kujaza samaki ziwani.
4. Kuhusu kusimamia uvuvi haramu ni rahisi sana wavuvi wenyewe wawe ma informer ukitoa taarifa unapata zawadi milioni 20 na fine kwa mhusika iwe milioni 100 ili mamlaka ipate na hela za kujiendesha , kama mhusika hana afilisiwe mali zake na kama hana afungwe maisha