Mwaka jana mahindi na bidhaa zingine zilipanda bei mpaka maisha kawaida yangachanganya raia.
Mimi binafsi nilisema acheni vipande bei maana ndiyo maisha halisi ya mkulima ili ainuke. Lakini kuna waelevu humu walipinga wakisema ni mwanzo wa uchumi kuanguka wasijue kupanda kwa bidhaa za mashambani ni mhimu kwa watu wanaotegemewa 80 per cent.
Leo hii bidhaa za kilimo zinashuka bei wakulima wanahangaika wanashindwa kumudu gharama za maisha nyie furahini sasa mjini mbet na kufurahi!
Mimi binafsi nilisema acheni vipande bei maana ndiyo maisha halisi ya mkulima ili ainuke. Lakini kuna waelevu humu walipinga wakisema ni mwanzo wa uchumi kuanguka wasijue kupanda kwa bidhaa za mashambani ni mhimu kwa watu wanaotegemewa 80 per cent.
Leo hii bidhaa za kilimo zinashuka bei wakulima wanahangaika wanashindwa kumudu gharama za maisha nyie furahini sasa mjini mbet na kufurahi!