Ushauri kwa wanaume

You guys love complements....and we just do that to make you happy..
Lakini vijana wengi wanaangalia, kama "demu" hafai anatafuta mbinu za kumlala Ili amalize mchezo aende mbele, wadada wengine huwezi kudate nao hata nusu saa...
 
naunga mkono hoja. inatakiwa muongee vitu tofauti na kubadilishana mawazo ili mzoeane kwanza. haiwezekani mkutane siku ya kwanza na kuanza kupeana story za I love you
 
You guys love complements....and we just do that to make you happy..
Lakini vijana wengi wanaangalia, kama "demu" hafai anatafuta mbinu za kumlala Ili amalize mchezo aende mbele, wadada wengine huwezi kudate nao hata nusu saa...

why u waste your time na hiyo ni moja ya dalili ya kuwa amna mawazo productive to its a sheeeeet
 
Ngoja na mimi naanzisha ya kwangu..... nitainame Umevaaaje..... ts coming soon

Hop tomorow itakua zamu yenu...maana naona leo mmetunyanyasa sana aisee looh.....
 
Kuhusu content....wat u discuss wth na hasa kama ivo inategemea na malengo ya mwanaume...

if i only interested in making love y should i focus on teln u my plans!...na kinyume chake
 
Ofisini nitumie akili nyingi bado nikikutana na mpenzi nitumie tena akili nyingi na kuwa ongelea kina nape na kina zito. Acha bwana. kwenye suala la ucheshi nitakuunga mkono lakini mambo ya siasa na uchumi nikiwa na mpenzi wangu hapa kabisa.

n nimeweka uchumi , utamaduni na ucheshi haina maana lazima kuongelea vitu vya kuumiza akili lakini u should be vreative in mind not the same words..... yani unakuta mtu unajua lazima aanze na neno hili na amalizie na hili ni ujing huu
 
Kuhusu content....wat u discuss wth na hasa kama ivo inategemea na malengo ya mwanaume...

if i only interested in making love y should i focus on teln u my plans!...na kinyume chake

sasa kama ni hivyo its better not to waste time....
 

misschaga Ngoja na mi nijipange kuomba si naruhusiwa! Jiandae kuzungumzia mabom ya mbagala, Mv bukoba na Vita ya adof hitra!
 
Last edited by a moderator:
amnini unavyo amni lakini u men u need to change
worry not MC..personally am very flexible.....
angalizo:tricky men wataanza maongezi na topic yoyote but eventually will unknowingly drag you into ''hotest topic of all time''
 
Tatizo mnapenda wazee. sasa mtu kama machache unategea atakua funny, au mtu kama wasira. yeye akiongea na wewe ni papuchi tu hamna kingine

amna cha wazee ninyi vijana ndo wabovu kabisa hata amjui maana ya funny
 
hahahaaaa.. ninyi ndo mnapenda kusikia mnapendwa na maneno mazuri!! ndo mana tunawapeni ya kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…