You guys love complements....and we just do that to make you happy..ooooh helll no so umekuja kunizuga au? basi usinitongoze yani huwa natamani kubeba meza kichwani ili kupunguza hasira... unakuta mtu wiki nzima ya kukufukuzia akija i love ooh umependeza..... hivi si unatongozwa sana? sasa mimi nikishaona hivyo nakupotezea..
with that stats an overnight change aint that easy....
..kumbe na wewe mgomvi!
You guys love complements....and we just do that to make you happy..
Lakini vijana wengi wanaangalia, kama "demu" hafai anatafuta mbinu za kumlala Ili amalize mchezo aende mbele, wadada wengine huwezi kudate nao hata nusu saa...
basi kama huna future acha kunidanganya i love i hate this this sometimes real hate
Ngoja na mimi naanzisha ya kwangu..... nitainame Umevaaaje..... ts coming soon
mimi si mkorofi....clever dudes will initiate talks to only your areas of interests...
as per our jamii forums ''hansard'',a portion of miss chagga`s areas of interests are as i highlighted in the above post.
We are made different....
Kuna variety ya wanaume inategemea una attract wa namna gani labda tatizo ni wewe.....
Ofisini nitumie akili nyingi bado nikikutana na mpenzi nitumie tena akili nyingi na kuwa ongelea kina nape na kina zito. Acha bwana. kwenye suala la ucheshi nitakuunga mkono lakini mambo ya siasa na uchumi nikiwa na mpenzi wangu hapa kabisa.
Kuhusu content....wat u discuss wth na hasa kama ivo inategemea na malengo ya mwanaume...
if i only interested in making love y should i focus on teln u my plans!...na kinyume chake
Nawasalimu wote, mambo zenu, shikamoo wakubwa ila siwanyimi chochote unaruhusiwa kuomba
Nirudi kwenye mada jamani kaka zangu na rafiki zangu wa kiume kwenye swala la kumtongoza mwanamke mnaboa jamani kila ukija unaongela mambo ya mapenzi tu oooh i love you, oooh sijui unaumbo nzuri hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.
Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?
All over the way unafikiria kuniambia i love you mimi huwa unanichosha jamani lets talk about other issues nichekeshe, tuongeleee uchumi, okey basi be funny mtu anaishia kukwambia i love na kubusu busu mikono hivi ni nini lakini BE CREATIVE GUYS LOH TOOO MUCH
Unakuta mwanaumme unamuuliza what is your plan for future anaongelea vitu vya ajabu a wengine amna majibu yani mimi nachefuka moyo nikiona mwanume ajielewi natamani kutapika.
Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.
Ihope mtajiongeza kwa kweli, nawapenda wote.
worry not MC..personally am very flexible.....amnini unavyo amni lakini u men u need to change
i think sina tatizo kwa kweli am okey ..
i insist that does not define me.... and i just help u guys
ha ha ha ha ha ha ha
Tatizo mnapenda wazee. sasa mtu kama machache unategea atakua funny, au mtu kama wasira. yeye akiongea na wewe ni papuchi tu hamna kingine