Fernando Jr
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,230
- 4,821
Kuna kwaya moja huko Kigoma waliimba "Mke mwema nani atakayemwona, maana ni mali adimu mke mwema yu wapi"...... Huwa natamani sana nije kupata wife material, nahisi nitaishi kama nipo peponi hata kama nitakuwa sina kitu. Tatizo wanawake wa siku hizi ni kama mabasi ya mwendokasi!
HONGERA SANA MKUU KWA KUMPATA MKE MWEMA, hiyo ni mali adimu kabisa karne hii...
HONGERA SANA MKUU KWA KUMPATA MKE MWEMA, hiyo ni mali adimu kabisa karne hii...