Omari Issa
Senior Member
- Jul 26, 2012
- 168
- 45
important ni kwamba kuhusu chakula: hapo ndipo utakapoona tofauti ya hz colleges sita.
nikianza na COED kwetu huko ndiko kjj cha Ng'ong'hona kilipo na ndiko wajasi weng wapo huko. Wajasi hawa wanalisha Education & Natural science, pamoja na Earth science & Informatics.
Tofaut iliyopo kat ya chakula cha wajasi na cha Cafeteria ipo kwny quantity and quality and safety.
Nenda ujasi upate quantity kubwa kuanzia Tsh. 1000 (wali nyama ndizi viazi mchicha MAJI) vyote kwa pamoja but kubali kuwa risk~taker wa "afya yako" na pia quality ndogo.
Nenda cafeteria upate quality kubwa but poor quantity chakula kuanzia Tsh. 1000 (wali maharage) basi na pia kubali kuwa risk~taker wa boom lako.
Kuhusu college ya Humanities na social(CHSS) wao wanategemea wajasi waliopo kjj cha Makuru nje kdogo but karibu na swimming pool ambao kwa idadi ya wanafunzi huwa hawatoshi maana xaa moja kamili tu ucku msosi huwa taabu. Huko nako huduma ni zile zile but huku quantity ya cafeteria na ujasi karibu sawa.
Kwa hyo ni hiyari yako kuchagua.
nikianza na COED kwetu huko ndiko kjj cha Ng'ong'hona kilipo na ndiko wajasi weng wapo huko. Wajasi hawa wanalisha Education & Natural science, pamoja na Earth science & Informatics.
Tofaut iliyopo kat ya chakula cha wajasi na cha Cafeteria ipo kwny quantity and quality and safety.
Nenda ujasi upate quantity kubwa kuanzia Tsh. 1000 (wali nyama ndizi viazi mchicha MAJI) vyote kwa pamoja but kubali kuwa risk~taker wa "afya yako" na pia quality ndogo.
Nenda cafeteria upate quality kubwa but poor quantity chakula kuanzia Tsh. 1000 (wali maharage) basi na pia kubali kuwa risk~taker wa boom lako.
Kuhusu college ya Humanities na social(CHSS) wao wanategemea wajasi waliopo kjj cha Makuru nje kdogo but karibu na swimming pool ambao kwa idadi ya wanafunzi huwa hawatoshi maana xaa moja kamili tu ucku msosi huwa taabu. Huko nako huduma ni zile zile but huku quantity ya cafeteria na ujasi karibu sawa.
Kwa hyo ni hiyari yako kuchagua.