Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

we unaleta utani, kutoka town mpaka chuoni kwa mguu ni kama saa limoja au mbil afu kuna bonge la mlima,


Hahah nilikuwa nauliza kutoka. College of social science. To. Humanities. Ndo. Pana Umbali. Gani ?? Ila. Sio kutoka. Town hadi. Chuo
 
Nooo sio swimming pool. Nilikuwa naulizia kuhusu Mama Ntilie maana Ndo nasikia Wapo humanities ila sio social

Wajasi WaPo karibu na hyo swimming pool,ukishafka fka hapo kwenye swimming unawaona waleee! Kwa chini wanauza vyakula vya bei nzuri mm huwa natumia 40000/= chakula kwa mwezi mzima
 
Wajasi WaPo karibu na hyo swimming pool,ukishafka fka hapo kwenye swimming unawaona waleee! Kwa chini wanauza vyakula vya bei nzuri mm huwa natumia 40000/= chakula kwa mwezi mzima


Daaah 40000/= hapo Pananifaa aisee hata Kama Nipo Social Nitakuwa Natembelea Humanities. Special for wajasi
 
Wajasi WaPo karibu na hyo swimming pool,ukishafka fka hapo kwenye swimming unawaona waleee! Kwa chini wanauza vyakula vya bei nzuri mm huwa natumia 40000/= chakula kwa mwezi mzima

na kutoka earth science mpaka hapo humanities kuna umbali gani
 
Dogo piga msuli kwa ufasaha sisi kaka zako tupo huku tunapiga Mastars coz me nimetoka hapo social sciences,
 
kwa udom usipopewa mkopo una weza hussle mpaka mwisho bila mkopo au ndo yatakuwa mengine?
 
Kwa nilivyoambiwa cafeteria service food ni tsh 2500 Ngoja wenye experience waje watuambie

Wali maharage/mbogamboga 1000
Wali nyama 1500
Wali samaki 2000
Ndizi nyama 2000
Ugali pande 1500
Ugali mishikaki miwili 1500
Wali kuku 2500
 
Wali maharage/mbogamboga 1000
Wali nyama 1500
Wali samaki 2000
Ndizi nyama 2000
Ugali pande 1500
Ugali mishikaki miwili 1500
Wali kuku 2500


Duuh wali nyama na maharage hapo ndo itakuwa favourite
 
Cafeteria zinazopika chakula kizuri ni mbili moja inaitwa TAJI ipo social science nyingine BREAK POINT ipo humanities hii iko poa zaid n tawi la Ile iliyopo posta Dsm opposite na club bills..
 
Cafeteria zinazopika chakula kizuri ni mbili moja inaitwa TAJI ipo social science nyingine BREAK POINT ipo humanities hii iko poa zaid n tawi la Ile iliyopo posta Dsm opposite na club bills..


Daah Humanities wanapendelewa aisee mbona everything good kipo kwao
 
Back
Top Bottom