Ushauri kwa wale waliojaaliwa flat screens

vipi kwa wale akina sisi wenye flat nyuma, na tv za zamani mbele tuvaeje, endelea kutoa ushauri tafadhali
 
Amekasirika utasema shape inauzwa sokoni...na flat screen wamejitakia
Anasahau kuwa anamkosoa Muumba wakati hapo alipo hajawai hata kutengeneza TV...


sasa jamani kosa letu nini sisi wenye flat??? mbona mwatunyasanyasa kwani tulijiumbaaa???
 


kumbe ulikuwepo enzi za Andha Kanoon......ha ha haaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…