Ushauri kwa wale waliojaaliwa flat screens


kwa taarifa yako wanawake wenye flatscreen ndiyo wanapendeza suruwali, awe na mwili mdogo tu!
 
Ni kweli vaa kulingana na umbo lako,mtu unakuta ana makalio flat kama anaendesha magari yakwenda mikoan afu kakomalia surual kisa ndo mtindo,unajichoresha tunakuona ni mfata mkumbo hujitambui wala kujitathimini...mtu una mwendo kama lalola afu unakomalia mapigo ya jukwaan,kula nguo kulingana na umbo lako...
 

bora mkuu umekazia msumali nadhani wanaskia
 

Akhsante kwa kunijuza maana nyengine ya flat screen.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…