Ushauri kwa wadada single


Japo umeandika out of emotions haya maneno ya muhimu sana kwa sie wadada, sharobaro ni ngumu sana kukupeleka kwa level nyingine kimahusiano.....
 
Haha av never been one, so as you may guess, siyajui.

Ningependa kuyafahamu mara tu upatapo ujumbe huu kwani nina hamu ya kuyaanza majukumu haya ASAP!!!:rockon:

Kunipa huduma zote za ki JF (kama huzijui muulize invisible), kunijali na kunikingia kifua nisionewe wala kusogelewa na akina mzabzab (huyu danger zone na ni mgegedaji maarufu), watu8 na wengineo, majukumu mengine nitakujulisha as unatimiza haya
 
Last edited by a moderator:
Kunipa huduma zote za ki JF (kama huzijui muulize invisible), kunijali na kunikingia kifua nisionewe wala kusogelewa na akina mzabzab (huyu danger zone na ni mgegedaji maarufu), watu8 na wengineo, majukumu mengine nitakujulisha as unatimiza haya

- La kwanza ni kukutoa from senior expert member ambayo in the real world ni sawa na kukununulia ki-vitz..consider it done.

- mzabzab nishampa kidonge chake natumai ataacha..

- watu8 ? hata yeye?

- sasa mimi ukiniita kidumu wewe ntakuitaje???:A S 39:
 
Last edited by a moderator:
watu8 nimemtaja tu kama mfano wa watu ambao unatakiwa unikinge dhidi yao. Kwani kuna ubaya kuitwa kidumu?au kisaidizi cha ndoo basi
 
Last edited by a moderator:
watu8 nimemtaja tu kama mfano wa watu ambao unatakiwa unikinge dhidi yao. Kwani kuna ubaya kuitwa kidumu?au kisaidizi cha ndoo basi

Ok, ujumbe huu uwafikie wote wanaokusumbua, watu8 et al, jamanieee juzi tu nilipoenda kumzika bosi wangu nilipitia 'kwa Msisi' muulizeni babu Dark City kunasifika kwa nini...we warned!!!

Kwako Mrembo by Nature, I meant wewe unaniita mimi 'kidumu' basi mimi nikuiteje wewe? 'kidumu' pia au kuna jina ambalo na wewe unastahili kuitwa?
 
Last edited by a moderator:
Kwako Mrembo by Nature, I meant wewe unaniita mimi 'kidumu' basi mimi nikuiteje wewe? 'kidumu' pia au kuna jina ambalo na wewe unastahili kuitwa?

Je wewe una NDOO ? kama huna basi angalia kama naweza kushika nafasi ya ndoo, kama unayo basi itabidi niitwe tu KIDUMU no way
 

well uzuri wa dunia ni kwamba people are unique. what works for u myt no necessarily work for the next person. i like the stress free world of no attachment to women or having to deal with the endless dramas. kujiangamiza...well thats debatable becoz as long as one engages in sex there are putting their lives at risk....
 
unatwanga maji kweny kinu. chezea pesa, ugolikipa hautaisha.
 

And that is where my point lies. <bold>

Again, pamoja na kuwa tupo unique, sidhani uhuru wako wa kuwa unique ni kwa kuchagua kujiumiza kila siku. Believe me, hata ukikataa, deep down your heart unazidi kuumia kila mara unapomgegeda demu na kumuacha...

Anyway, bado hujachelewa to see this side of life am presenting to u!!!:yo:
 
Mwambie, anaumia huyo sema bado anajiplease tu. Kuna wakati anasema ana hamu na intimacy ambayo girlfriend or wife can provide.

Kitendo cha kuignore maumivu sio kwamba yanakuwa hayapo.

 
Thanks, ni kujifunza kutokuweka furaha yetu kwa vitu, maana vitu ukitafuta vinapatika huja mara na kuondoka, tuzingatie amani ya miyo yetu na sio matamanio yetu.

 

Hakuna kitu kinauma kama hiki, unajifanya unakomoa ili iwe kama pain releaser, hahaha huwa inauma zaidi heri hata ukae single uangalie kinachoendelea. Lakin kwanini mtu ufanye revenge inayoumiza mwili wako mwenyewe?Mwisho wa siku athari ya zinaa inakurudia wewe mwenyewe. Heri hata kuwa observer hadi hapo majeraha yako yatakapopona. Ni ngumu sana pia kuwa kwenye mahusiano na majeruhi wa mapenzi, hata ufanye nini huwa hawa appreciate......
 

well i beg to differ and here is why;
kwanza kabisa mie nilichukulia hilo kama fundisho...a lesson learned kwamba if ur true desires is to gegeda mwanamke then ya nini ukae unapoteza muda kubembelezana while in the end wether unaenda kwa malaya au demu wakaiwa yote sawa tuu. ni sawa kwa sababu
1) kugegeda malaya au kugegeda demu wakawaida u are guilty of the same sin in God's eyes na sio human eyes
2) either way utalipia hiyo papuchi interms of hard cash or interms of services rendered.

so that being said i found it better kuenjoy na malaya becoz...
1) am free of the lady drama
2) hamna siku ambayo nataka alafu napigwa stop becoz demu yupo kwenye siku zake
3) nabadilisha taste nitakavyo
4) no guilty conscious ya kuwa nimecheat

i am fully cognizant of the fact that any human being will always find a way/example to justify their so called ways or life/belif/actions. this difference is where i as am horrable has one may picture me to be, i see a sense of double standards on the part of those who engage in so called bf/gf relationships which in essence have become a euphemism for sexmate.
 
mbona umecopy nusu? copy story nzima kwenye wall yangu fb
 

Duh...!

All the best brother...will come back later saiv nawish tu man city afungwe..as i wait our game!!!

mbona umecopy nusu? copy story nzima kwenye wall yangu fb

Hongereni kwa jana.

Btw, ebu ni pm ur fb name nimsaidie kuipaste yote...!!!
 
duh...!

All the best brother...will come back later saiv nawish tu man city afungwe..as i wait our game!!!



Hongereni kwa jana.

Btw, ebu ni pm ur fb name nimsaidie kuipaste yote...!!!
maweeeeeeeee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…