Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Saa nyingine tunapenda hela lakini kuna wakati unafika hela haiwezi kukupatia amani, afya wala furaha. Kuna wakati hata elimu haiwezi kununua furaha ya kweli. Huu ushauri umetoka kwa mwanamke aliyemuacha mchumba wake kwa sababu hana elimu alafu ni maskini akamuendea aliye tajiri na mwenye elimu kubwa. Matokeo yake kumbe ameathirika. Kuja kutahamaki ameambukizwa tayari virusi. Aliyekuwa maskini ni tajiri sasa na kumrudia hawezi tena. Soma mwenyewe.........
"......WEWE MSICHANA MWENZANGU..., SIMAMA NA MUNGU....., MTANGULIZE MUNGU KWA KILA JAMBO...., MACHO YASIKUPOTEZE, ELIMU YAKO, PESA YAKO, UZURI WAKO USIACHE VIKUPOTEZE. MUHESHIMU MUNGU OKOKA KWELI KWELI, KAMA WATEMBEA KWA IMANI BASI AMINI JUU YA MUMEO MUNGU ATAKUPA AFANANAE NAWE KWA VIGEZO VYAKE NA SIO VYAKO WEWE.
USIMCHANGANYE MUNGU HUKU UKIISHI MAISHA MACHAFU MTAANI, USIUFANYE MWILI WAKO KITUO CHA UTALII KWANI HILO NI HEKALU LA ROHO MTAKATIFUUU!! USIMDHARAU MTU KWA NAMNA YOYOTE LEO WEWE HUJUI KESHO YA HUYO MTU...., YULE KIJANA NILIMKATAA SASA NI TAJIRI ANA VITU VYOTE NILIVYOKUWA NATAKA BUT NOW IT'S TOO LATE KWANI NALITAMANI VITU NISIVYOVITOLEA JASHO. KUBALI MTU SI KWA VILE ALIVYO TU BALI PIA ATAKAVYOKUWA BAADAE, KUBALI KUANZA SIFURI NAYE MUINUKE PAMOJA, LIENI NA KUCHEKA PAMOJA.., MTABARIKIWA. NAPIGANA VITA NAMI HAPA NIKIAMINI MUNGU AMENISAMEHE NA SIKU MOJA TUONANE MBINGUNI.....".
Ninadhani wa kubadilika ataabadilika.
"......WEWE MSICHANA MWENZANGU..., SIMAMA NA MUNGU....., MTANGULIZE MUNGU KWA KILA JAMBO...., MACHO YASIKUPOTEZE, ELIMU YAKO, PESA YAKO, UZURI WAKO USIACHE VIKUPOTEZE. MUHESHIMU MUNGU OKOKA KWELI KWELI, KAMA WATEMBEA KWA IMANI BASI AMINI JUU YA MUMEO MUNGU ATAKUPA AFANANAE NAWE KWA VIGEZO VYAKE NA SIO VYAKO WEWE.
USIMCHANGANYE MUNGU HUKU UKIISHI MAISHA MACHAFU MTAANI, USIUFANYE MWILI WAKO KITUO CHA UTALII KWANI HILO NI HEKALU LA ROHO MTAKATIFUUU!! USIMDHARAU MTU KWA NAMNA YOYOTE LEO WEWE HUJUI KESHO YA HUYO MTU...., YULE KIJANA NILIMKATAA SASA NI TAJIRI ANA VITU VYOTE NILIVYOKUWA NATAKA BUT NOW IT'S TOO LATE KWANI NALITAMANI VITU NISIVYOVITOLEA JASHO. KUBALI MTU SI KWA VILE ALIVYO TU BALI PIA ATAKAVYOKUWA BAADAE, KUBALI KUANZA SIFURI NAYE MUINUKE PAMOJA, LIENI NA KUCHEKA PAMOJA.., MTABARIKIWA. NAPIGANA VITA NAMI HAPA NIKIAMINI MUNGU AMENISAMEHE NA SIKU MOJA TUONANE MBINGUNI.....".
Ninadhani wa kubadilika ataabadilika.