mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Kwa mwendo wa kipigo cha 5G kwa timu pinzani, ligi ya NBC, ambacho Yanga inakitoa, na ndio mwanzo wa kikosi kinajengwa na Timu mpya ya ufundi, chini ya kocha Gamondi.
Nashauri:
Yanga ipangiwe kucheza michezo miwili miwili, kwa siku hiyo hiyo (kwa maana icheze na timu 2 za ligi, moja baada ya nyingine), ya viporo, kwa sababu ya Mashindano ya Klabu Bingwa CAF. Yanga imethibitisha kuwa ina vikosi viwili vilivyokamilika, ili wachezaji wote wapate nafasi ya kucheza.
Yawezekana kukawa na upungufu wa mapato lakini kiingilio kinaweza kuongezwa.
Nashauri:
Yanga ipangiwe kucheza michezo miwili miwili, kwa siku hiyo hiyo (kwa maana icheze na timu 2 za ligi, moja baada ya nyingine), ya viporo, kwa sababu ya Mashindano ya Klabu Bingwa CAF. Yanga imethibitisha kuwa ina vikosi viwili vilivyokamilika, ili wachezaji wote wapate nafasi ya kucheza.
Yawezekana kukawa na upungufu wa mapato lakini kiingilio kinaweza kuongezwa.