Nashauri Wapenzi wa Simba na Serikali!
Hii ni Fedheha!
Kwanini tupangiwe uwanja?
Serikali Iandae Matumizi ya Uwanja wa Amaan siku ya Tarehe 25!
uwe na Matengenezo!
itafutwe hitilafu ya lazima!
na kama CAF waleandika barua kwa Silba au serikali iwajibu CAF kuwa uwanja huo utakuwa kwenye matenegezo makubwa au ya Kati.
Hawawezi kutupangia Uwanja wa Mechi!
Hao Berkane wamefanya Uhuni,Yaani Wanajifanya wa Mjini kushirikiana na CAF!
Mechi iletwe kwa Mkapa!
Hii ni Fedheha!
Kwanini tupangiwe uwanja?
Serikali Iandae Matumizi ya Uwanja wa Amaan siku ya Tarehe 25!
uwe na Matengenezo!
itafutwe hitilafu ya lazima!
na kama CAF waleandika barua kwa Silba au serikali iwajibu CAF kuwa uwanja huo utakuwa kwenye matenegezo makubwa au ya Kati.
Hawawezi kutupangia Uwanja wa Mechi!
Hao Berkane wamefanya Uhuni,Yaani Wanajifanya wa Mjini kushirikiana na CAF!
Mechi iletwe kwa Mkapa!