Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Naipongeza serikali kwa kazi nzuri ya kujenga terminal mpya ya airport, ambayo itatumika kwa ajili ya safari za kimataifa.
Jambo moja ambalo nimeona ni kasoro kubwa ni kutokuwapo na njia ya ndani kwa ndani kuunganisha terminal mpya na ya zamani ambayo sasa itatumika kwa domestic flights. Naisihi serikali kufanya mpango wa kujenga njia ya ndani kwa ndani ili abiria wanaounganisha kutoka domestic kwenda international au international kwenda domestic wasiwe wanatoka nje, bali wawe wana-transit kati ya hizi terminal mbili ndani kwa ndani.
Kumbuka pia kujengwa kwa hii corridor la ndani kwa ndani itatoa fursa nzuri kuweka banner za matangazo ambazo Mamlaka ya Viwanja itaingiza pesa nyingi. Na ikiwezekana njia hii iwe na sehemu ya "travelator" ile njia ambayo inatembea ili kufanya utembee kwa kasi zaidi.
Jambo moja ambalo nimeona ni kasoro kubwa ni kutokuwapo na njia ya ndani kwa ndani kuunganisha terminal mpya na ya zamani ambayo sasa itatumika kwa domestic flights. Naisihi serikali kufanya mpango wa kujenga njia ya ndani kwa ndani ili abiria wanaounganisha kutoka domestic kwenda international au international kwenda domestic wasiwe wanatoka nje, bali wawe wana-transit kati ya hizi terminal mbili ndani kwa ndani.
Kumbuka pia kujengwa kwa hii corridor la ndani kwa ndani itatoa fursa nzuri kuweka banner za matangazo ambazo Mamlaka ya Viwanja itaingiza pesa nyingi. Na ikiwezekana njia hii iwe na sehemu ya "travelator" ile njia ambayo inatembea ili kufanya utembee kwa kasi zaidi.