Ushauri kwa Serikali: Ajira za mkataba ndiyo suluhisho pekee la uhaba wa ajira nchini

ku allocate resources ni ngum ndo maana tuna tumia makaratasi mbadala wa gold
Haya yanayopendkezwa ni mojawapo ya mawazo mema katika kusaidia jitihada hizo za ku allocate resources kwa usawa zaidi hata kama sio kikamilifu.
 

Key point yako ni “atarogwa mtu “
 
Yaani baada ya kila miaka 5 watu wapya kazini
Huko kazini kutakua mchaka mchaka watu ni kuwaza kufanikisha mambo yao tu ubunifu utakua hakuna
 
Miaka michache hiyo
Wanaoomba iwe hivyo ikifika zamu yao wataomba iongezwe
Hata kwa jiwe kuna watu walitaka atawale milele lakini imeshindikana.Watu wa aina hiyo hawawezi kukosekana ila katika hili watazidiwa wingi na hoja na wale watakaokua wanazitaka hizo ajira pia.
 
Hata kwa jiwe kuna watu walitaka atawale milele lakini imeshindikana.Watu wa aina hiyo hawawezi kukosekana ila katika hili watazidiwa wingi na hoja na wale watakaokua wanazitaka hizo ajira pia.
Hili wazo kama huko duniani hawajaibuka nalo mpaka leo jua kwamba ni suala ambalo liko mbali kufanyika
Pesa haitakiwi kuwa rahisi kiivyo kwa elimu yangu ndogo ya uchumi
 
Una uhakika ukitoa hyo laki tatu kwenye mil. 60 wote wameajiriwa sekta binafsi?hao wanaotafuta ajira na bahasha zao wapo sekta ipi?na hao waliojiajiri wapo sekta binafsi???NIPE DISTRIBUTION YA AJIRA ZA WATU WOTE HAO MIL.60 TUONE MLINGANYO ULIOPO HAPA NCHINI!!!MATUSI HAYAKUFANYI UONEKANE BRIGHT JUKWAANI!!!TUAMBIE NINI KIFANYIKE!NDIO MAANA YA BANDIKO HILI!!MJADALA HURU!!NJOO NA PLAN YAKO HUMU JAMVINI TUIONE!!!
 
Una uhakika ukitoa hyo laki tatu kwenye mil. 60 wote wameajiriwa sekta binafsi?hao wanaotafuta ajira na bahasha zao wapo sekta ipi?na hao waliojiajiri wapo sekta binafsi???NIPE DISTRIBUTION YA AJIRA ZA WATU WOTE HAO MIL.60 TUONE MLINGANYO ULIOPO HAPA NCHINI!!!MATUSI HAYAKUFANYI UONEKANE BRIGHT JUKWAANI!!!TUAMBIE NINI KIFANYIKE!NDIO MAANA YA BANDIKO HILI!!MJADALA HURU!!NJOO NA PLAN YAKO HUMU JAMVINI TUIONE!!!
 
Una uhakika ukitoa hyo laki tatu kwenye mil. 60 wote wameajiriwa sekta binafsi?hao wanaotafuta ajira na bahasha zao wapo sekta ipi?na hao waliojiajiri wapo sekta binafsi???NIPE DISTRIBUTION YA AJIRA ZA WATU WOTE HAO MIL.60 TUONE MLINGANYO ULIOPO HAPA NCHINI!!!MATUSI HAYAKUFANYI UONEKANE BRIGHT JUKWAANI!!!TUAMBIE NINI KIFANYIKE!NDIO MAANA YA BANDIKO HILI!!MJADALA HURU!!NJOO NA PLAN YAKO HUMU JAMVINI TUIONE!!!
 
Una uhakika ukitoa hyo laki tatu kwenye mil. 60 wote wameajiriwa sekta binafsi?hao wanaotafuta ajira na bahasha zao wapo sekta ipi?na hao waliojiajiri wapo sekta binafsi???NIPE DISTRIBUTION YA AJIRA ZA WATU WOTE HAO MIL.60 TUONE MLINGANYO ULIOPO HAPA NCHINI!!!MATUSI HAYAKUFANYI UONEKANE BRIGHT JUKWAANI!!!TUAMBIE NINI KIFANYIKE!NDIO MAANA YA BANDIKO HILI!!MJADALA HURU!!NJOO NA PLAN YAKO HUMU JAMVINI TUIONE!!!
 
Wabongo tunajisahau sana kijana ukimpa mkataba wa miaka mitano anajisahau mpaka miaka mitano inaisha ndo anang’ang’ana anunue godoro
 
Serikali wanaangalia uzoefu huo ushauri wako hauwezi kufanya kazi. Mtu anafika mwaka wa 4 anakuwa mzoefu mwaka wa 5 mkataba wake unaishi.
Unamuweka Graduated kwenye nafasi hiyo nafasi unatengeneza tatizo
 
Serikali wanaangalia uzoefu huo ushauri wako hauwezi kufanya kazi. Mtu anafika mwaka wa 4 anakuwa mzoefu mwaka wa 5 mkataba wake unaishi.
Unamuweka Graduated kwenye nafasi hiyo nafasi unatengeneza tatizo
Itakuwa miaka 10, huo uzoefu wake wa miaka 4 atautumia katika hiyo miaka 6 iliyobaki halafu awaachie wengine.
 
Watu sijui wanawaza nini ila hayo ya mleta mada ni ndoto za alinacha na ni kitu ambacho hakiwezekani.
 
Wakijiua ni mipango binafsi! Kama una 60m una uwezo wa kuizalisha kama huna jiunge na wanaoweza! This is how we create wealth
Jamaa anasema watajiua kwa kukosa mshahara afu hapo hapo wanawambia graduate wajiajiri wakati hawana hata 100 huku anasema mtu ana milion 60 atajiua...

Hapo ndio ujie nje ya box kipengele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…