Wana jamvi
Kama mjuavyo Kubenea atatakiwa kwenda mbele ya Kamati kuthibisha tuhuma dhidi ya JWTZ na Mh Mwinyi(MB)
Mbunge wetu amekwepa kujibu hoja au kuthibitisha tuhuma alizo toa bungeni na amekwenda kwenye vyombo vya habari makusudi kupotosha alicho takiwa kuthibitisha!
Mbunge Kubenea anataka akapewa adhabu ionekane kaonewa wakati kiukweli hajathibitisha tuhuma alizo zitoa bungeni dhidi ya Mwinyi na JWTZ
Kwa hisani ya mdau wa Jf tunawakumbusha wananchi na kubenea kuwa!
Ushahidi wa Kubenea hauhusiani na hoja aliyoshtakiwa na mwinyi. Hapa kawapumbuza watu ameacha jambo la msingi ili baadae akihukumiwa ionekane alionewa. alitakiwa kuthibitisha tuhuma dhidi ya JWTZ wakishirikiana na Waziri Mwinyi kuwa ilitoa ardhi kwa kampuni ya Hennang Guiging Industry Investiment kwa ajili ya kufanya ujenzi wa nyumba kwa miaka 40 na si kuhusiana na Mwinyi kumiliki kiwanja. Athibitishe pasipo na shaka ukweli huo .
Karibuni wana jamvi!