Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,751
- 3,691
Yoshua1:5-6
Hapatakuwa mtu ye yote atayeweza kusimama mbele yako siku zote za maisha yako, kama nilivyokuwa pamoja na Musa, ndivyo nitakavyo kuwa pamoja na wewe, sitakupungukia wala sita kuacha.
Uwe hodari na moyo wa ushujaa......
Atafute wataalamu wa aminifu wa mshauri njia bora ya kuachana na kiroba cha misumari alicho twishwa cha kuhamia Dodoma. Itasaidia kuokoa raslimali za nchi lakini kuvuna faida kubwa za kiuchumi ambazo ziko DSM tayari. Itakuwa ni jambo la NPK sana kuikoa DSM na Utembo mweupe uliokuwa unakuwa kwa kasi.
Hapatakuwa mtu ye yote atayeweza kusimama mbele yako siku zote za maisha yako, kama nilivyokuwa pamoja na Musa, ndivyo nitakavyo kuwa pamoja na wewe, sitakupungukia wala sita kuacha.
Uwe hodari na moyo wa ushujaa......
Atafute wataalamu wa aminifu wa mshauri njia bora ya kuachana na kiroba cha misumari alicho twishwa cha kuhamia Dodoma. Itasaidia kuokoa raslimali za nchi lakini kuvuna faida kubwa za kiuchumi ambazo ziko DSM tayari. Itakuwa ni jambo la NPK sana kuikoa DSM na Utembo mweupe uliokuwa unakuwa kwa kasi.

