Ushauri kwa Rais Samia: Punguza ukaribu na wasanii, watakuharibia!

Ushauri kwa Rais Samia: Punguza ukaribu na wasanii, watakuharibia!

Sangamwalogesha

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2025
Posts
2,144
Reaction score
1,300
Nieleweke, simchukii Rais wangu, nampenda sana.

Ila Rais huyu kiujumla, anawaogopa wasanii.

Wasanii wengi hawana hata maadili—watamsaidia nini? Mbele ya Rais wa nchi, mhuni mmoja anasema Harmonize amerudiana na Kajala, Rais anacheka. Nchi tunaipeleka wapi?

Kimsingi, baada ya Samia kuwa Rais, mtu wa kwanza kumwondoa alipaswa kuwa Majaliwa.

Mwinyi aliwahi kuwaondoa mawaziri wakuu wawili. Warioba, ni kwamba hajawahi kuwa na adabu kwa wakubwa zake kabisa.

Hakuna kiongozi mwenye akili anayeweza kuishi na mtu kama Warioba. Very arrogant. Egoism utafikiri anajua kila kitu. Kikwete alimtuliza. Hata Samia angempatia cheo gani Warioba, Warioba hawezi kutulia.

Malecela alifukuzwa na Mwinyi kwa kushindwa kusimamia Muungano. Na alivyotaka kugombea urais, Mkapa alimtuliza kwa mbinu kubwa sana.

Uzuri wa Malecela ni kwamba ana hekima, alikaa kimya. Hao wanaume—Mwinyi na Mkapa—ndiyo Marais. Samia hawezi hata kumwondoa Mwigulu?

Rais apime upepo, akubali kubadilika.

Aache kuwa karibu na wasanii. Yule mnamwita mjomba ni tapeli tu. Eti anakariri takwimu. Kwani zile wizara hazina viongozi?

Rais, very seriously, aeleze serikali yake imefanya nini.

Aachane na wasanii—tena aachane nao kabisa kwenye ziara zake. Rais gani anatembea na wasanii? Hata Kenya hawafanyi hivyo.

Mkapa alikuwa anatembea na wasanii?
 
Wabongo mnachuki binafsi saana,

Ndo maana mnalogana saana,

Hampendi kuona mtu ametulia, anafuraha

Yaani akigeuka akawa kama magufuli, bado mtaleta maneno tu
 
Mbona ana tuzo naye na umaster wa comedian, unataka aitupe au airushe? A or B?
 
Kichwa cha uzi ni wasanii ili huku kwenye habari umekuja kumkanyagia warioba na kuonyesha udhaifu wa Samia

Warioba kosa lake ni lipi, au kwamba kosa la warioba ni kusema ukweli? Yani mtu akishauri anakua adui

Yani mtu mjinga kama wewe unatoa ushauri kwa rais?
 
Huyu mama amekuja kuidhalilisha taasisi ya uraisi, juzi nimeona jinsi comedian mmoja alivua cheni yake ili ampe mama...
TANZANIA tumepata bahati mbaya Sana kuongozwa na huyu maza
Uwezo mdogo mkuu, msamehe bure!
Hv unadhani kwenye mchakato serious ndani ya ccm maza angetoboa hata 10 bora??!!.
 
By the way, maza mwenyewe msanii...so wamekutana chupa na mfuniko!
 
Nieleweke, simchukii Rais wangu, nampenda sana.

Ila Rais huyu kiujumla, anawaogopa wasanii.

Wasanii wengi hawana hata maadili—watamsaidia nini? Mbele ya Rais wa nchi, mhuni mmoja anasema Harmonize amerudiana na Kajala, Rais anacheka. Nchi tunaipeleka wapi?

Kimsingi, baada ya Samia kuwa Rais, mtu wa kwanza kumwondoa alipaswa kuwa Majaliwa.

Mwinyi aliwahi kuwaondoa mawaziri wakuu wawili. Warioba, ni kwamba hajawahi kuwa na adabu kwa wakubwa zake kabisa.

Hakuna kiongozi mwenye akili anayeweza kuishi na mtu kama Warioba. Very arrogant. Egoism utafikiri anajua kila kitu. Kikwete alimtuliza. Hata Samia angempatia cheo gani Warioba, Warioba hawezi kutulia.

Malecela alifukuzwa na Mwinyi kwa kushindwa kusimamia Muungano. Na alivyotaka kugombea urais, Mkapa alimtuliza kwa mbinu kubwa sana.

Uzuri wa Malecela ni kwamba ana hekima, alikaa kimya. Hao wanaume—Mwinyi na Mkapa—ndiyo Marais. Samia hawezi hata kumwondoa Mwigulu?

Rais apime upepo, akubali kubadilika.

Aache kuwa karibu na wasanii. Yule mnamwita mjomba ni tapeli tu. Eti anakariri takwimu. Kwani zile wizara hazina viongozi?

Rais, very seriously, aeleze serikali yake imefanya nini.

Aachane na wasanii—tena aachane nao kabisa kwenye ziara zake. Rais gani anatembea na wasanii? Hata Kenya hawafanyi hivyo.

Mkapa alikuwa anatembea na wasanii?
Ndege wafananao huruka pamoja , huyo naye ni msanii tu, huoni pamoja 4R zake bado watu wanatekwa, wanateswa na wanauwawa na kufunguliwa kesi za mchongo.
 
Nieleweke, simchukii Rais wangu, nampenda sana.

Ila Rais huyu kiujumla, anawaogopa wasanii.

Wasanii wengi hawana hata maadili—watamsaidia nini? Mbele ya Rais wa nchi, mhuni mmoja anasema Harmonize amerudiana na Kajala, Rais anacheka. Nchi tunaipeleka wapi?

Kimsingi, baada ya Samia kuwa Rais, mtu wa kwanza kumwondoa alipaswa kuwa Majaliwa.

Mwinyi aliwahi kuwaondoa mawaziri wakuu wawili. Warioba, ni kwamba hajawahi kuwa na adabu kwa wakubwa zake kabisa.

Hakuna kiongozi mwenye akili anayeweza kuishi na mtu kama Warioba. Very arrogant. Egoism utafikiri anajua kila kitu. Kikwete alimtuliza. Hata Samia angempatia cheo gani Warioba, Warioba hawezi kutulia.

Malecela alifukuzwa na Mwinyi kwa kushindwa kusimamia Muungano. Na alivyotaka kugombea urais, Mkapa alimtuliza kwa mbinu kubwa sana.

Uzuri wa Malecela ni kwamba ana hekima, alikaa kimya. Hao wanaume—Mwinyi na Mkapa—ndiyo Marais. Samia hawezi hata kumwondoa Mwigulu?

Rais apime upepo, akubali kubadilika.

Aache kuwa karibu na wasanii. Yule mnamwita mjomba ni tapeli tu. Eti anakariri takwimu. Kwani zile wizara hazina viongozi?

Rais, very seriously, aeleze serikali yake imefanya nini.

Aachane na wasanii—tena aachane nao kabisa kwenye ziara zake. Rais gani anatembea na wasanii? Hata Kenya hawafanyi hivyo.

Mkapa alikuwa anatembea na wasanii?
Ndio ninyi mnasubiri bunge livunjwe mkinukishe ndani ya chama?

Yote kheri ikiwa watanzania watakuwa huru kuondoka a na mifumo kandamizi!
 
Tanzania haina rais ndugu mleta mada. Rais ni kiongozi anayeongoza nchi.
 
Nieleweke, simchukii Rais wangu, nampenda sana.

Ila Rais huyu kiujumla, anawaogopa wasanii.

Wasanii wengi hawana hata maadili—watamsaidia nini? Mbele ya Rais wa nchi, mhuni mmoja anasema Harmonize amerudiana na Kajala, Rais anacheka. Nchi tunaipeleka wapi?

Kimsingi, baada ya Samia kuwa Rais, mtu wa kwanza kumwondoa alipaswa kuwa Majaliwa.

Mwinyi aliwahi kuwaondoa mawaziri wakuu wawili. Warioba, ni kwamba hajawahi kuwa na adabu kwa wakubwa zake kabisa.

Hakuna kiongozi mwenye akili anayeweza kuishi na mtu kama Warioba. Very arrogant. Egoism utafikiri anajua kila kitu. Kikwete alimtuliza. Hata Samia angempatia cheo gani Warioba, Warioba hawezi kutulia.

Malecela alifukuzwa na Mwinyi kwa kushindwa kusimamia Muungano. Na alivyotaka kugombea urais, Mkapa alimtuliza kwa mbinu kubwa sana.

Uzuri wa Malecela ni kwamba ana hekima, alikaa kimya. Hao wanaume—Mwinyi na Mkapa—ndiyo Marais. Samia hawezi hata kumwondoa Mwigulu?

Rais apime upepo, akubali kubadilika.

Aache kuwa karibu na wasanii. Yule mnamwita mjomba ni tapeli tu. Eti anakariri takwimu. Kwani zile wizara hazina viongozi?

Rais, very seriously, aeleze serikali yake imefanya nini.

Aachane na wasanii—tena aachane nao kabisa kwenye ziara zake. Rais gani anatembea na wasanii? Hata Kenya hawafanyi hivyo.

Mkapa alikuwa anatembea na wasanii?
Umeshawahi kuishi Pwani? Unafahamu tamaduni za watu wa Pwani? Siku utakapotoka huko nyumbani kwenu Kwa Mromboo na kwenda kuishi hayo maeneo ndiyo utafahamu pia asili ya watu wake.
 
Nieleweke, simchukii Rais wangu, nampenda sana.

Ila Rais huyu kiujumla, anawaogopa wasanii.

Wasanii wengi hawana hata maadili—watamsaidia nini? Mbele ya Rais wa nchi, mhuni mmoja anasema Harmonize amerudiana na Kajala, Rais anacheka. Nchi tunaipeleka wapi?

Kimsingi, baada ya Samia kuwa Rais, mtu wa kwanza kumwondoa alipaswa kuwa Majaliwa.

Mwinyi aliwahi kuwaondoa mawaziri wakuu wawili. Warioba, ni kwamba hajawahi kuwa na adabu kwa wakubwa zake kabisa.

Hakuna kiongozi mwenye akili anayeweza kuishi na mtu kama Warioba. Very arrogant. Egoism utafikiri anajua kila kitu. Kikwete alimtuliza. Hata Samia angempatia cheo gani Warioba, Warioba hawezi kutulia.

Malecela alifukuzwa na Mwinyi kwa kushindwa kusimamia Muungano. Na alivyotaka kugombea urais, Mkapa alimtuliza kwa mbinu kubwa sana.

Uzuri wa Malecela ni kwamba ana hekima, alikaa kimya. Hao wanaume—Mwinyi na Mkapa—ndiyo Marais. Samia hawezi hata kumwondoa Mwigulu?

Rais apime upepo, akubali kubadilika.

Aache kuwa karibu na wasanii. Yule mnamwita mjomba ni tapeli tu. Eti anakariri takwimu. Kwani zile wizara hazina viongozi?

Rais, very seriously, aeleze serikali yake imefanya nini.

Aachane na wasanii—tena aachane nao kabisa kwenye ziara zake. Rais gani anatembea na wasanii? Hata Kenya hawafanyi hivyo.

Mkapa alikuwa anatembea na wasanii?
Sasa msanii uta mtoa je kwenye kundi la wasanii wenzake?
Huyu amekuwa mtu wa vijembe kila akiongea kiasi kwamba ame poteza mvuto kwa walio wengi .
Hana muda na maisha yetu.
 
Nieleweke, simchukii Rais wangu, nampenda sana.

Ila Rais huyu kiujumla, anawaogopa wasanii.

Wasanii wengi hawana hata maadili—watamsaidia nini? Mbele ya Rais wa nchi, mhuni mmoja anasema Harmonize amerudiana na Kajala, Rais anacheka. Nchi tunaipeleka wapi?

Kimsingi, baada ya Samia kuwa Rais, mtu wa kwanza kumwondoa alipaswa kuwa Majaliwa.

Mwinyi aliwahi kuwaondoa mawaziri wakuu wawili. Warioba, ni kwamba hajawahi kuwa na adabu kwa wakubwa zake kabisa.

Hakuna kiongozi mwenye akili anayeweza kuishi na mtu kama Warioba. Very arrogant. Egoism utafikiri anajua kila kitu. Kikwete alimtuliza. Hata Samia angempatia cheo gani Warioba, Warioba hawezi kutulia.

Malecela alifukuzwa na Mwinyi kwa kushindwa kusimamia Muungano. Na alivyotaka kugombea urais, Mkapa alimtuliza kwa mbinu kubwa sana.

Uzuri wa Malecela ni kwamba ana hekima, alikaa kimya. Hao wanaume—Mwinyi na Mkapa—ndiyo Marais. Samia hawezi hata kumwondoa Mwigulu?

Rais apime upepo, akubali kubadilika.

Aache kuwa karibu na wasanii. Yule mnamwita mjomba ni tapeli tu. Eti anakariri takwimu. Kwani zile wizara hazina viongozi?

Rais, very seriously, aeleze serikali yake imefanya nini.

Aachane na wasanii—tena aachane nao kabisa kwenye ziara zake. Rais gani anatembea na wasanii? Hata Kenya hawafanyi hivyo.

Mkapa alikuwa anatembea na wasanii?
Msanii amharibie Rais Kwa lipi? Rais Yuko karibu na influential groups
 
Nieleweke, simchukii Rais wangu, nampenda sana.

Ila Rais huyu kiujumla, anawaogopa wasanii.

Wasanii wengi hawana hata maadili—watamsaidia nini? Mbele ya Rais wa nchi, mhuni mmoja anasema Harmonize amerudiana na Kajala, Rais anacheka. Nchi tunaipeleka wapi?

Kimsingi, baada ya Samia kuwa Rais, mtu wa kwanza kumwondoa alipaswa kuwa Majaliwa.

Mwinyi aliwahi kuwaondoa mawaziri wakuu wawili. Warioba, ni kwamba hajawahi kuwa na adabu kwa wakubwa zake kabisa.

Hakuna kiongozi mwenye akili anayeweza kuishi na mtu kama Warioba. Very arrogant. Egoism utafikiri anajua kila kitu. Kikwete alimtuliza. Hata Samia angempatia cheo gani Warioba, Warioba hawezi kutulia.

Malecela alifukuzwa na Mwinyi kwa kushindwa kusimamia Muungano. Na alivyotaka kugombea urais, Mkapa alimtuliza kwa mbinu kubwa sana.

Uzuri wa Malecela ni kwamba ana hekima, alikaa kimya. Hao wanaume—Mwinyi na Mkapa—ndiyo Marais. Samia hawezi hata kumwondoa Mwigulu?

Rais apime upepo, akubali kubadilika.

Aache kuwa karibu na wasanii. Yule mnamwita mjomba ni tapeli tu. Eti anakariri takwimu. Kwani zile wizara hazina viongozi?

Rais, very seriously, aeleze serikali yake imefanya nini.

Aachane na wasanii—tena aachane nao kabisa kwenye ziara zake. Rais gani anatembea na wasanii? Hata Kenya hawafanyi hivyo.

Mkapa alikuwa anatembea na wasanii?
Sasa tushike lipi, Wasanii au Warioba au Majaliwa?
 
Back
Top Bottom