Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kukosoa na kutukana. Watu wengi wanatukana viongozi wa nchi huku wakijinadi kuwa huo ndio upinzani.Unaweza kuwa umeongea point lakin sasa hukupaswa kutumia lugha hii kwa kiongoz wako