Ushauri kwa Mh Lema mbunge

Ushauri kwa Mh Lema mbunge

kunyala

Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
76
Reaction score
18
Katika kipindi cha hivi karibuni naona kamanda lema anaongea mambo akiwa ktk jazba kubwa sana.kutokana na hilo me naona kuna sehemu anakosea kwani wataalam wanasema mtu ukiwa na hasira au furaha sana sio vizuri kutoa maamuzi au matamko yanayohusu jamii mojakwamoja.Ushauri wangu kwake ajari kufikiri kwanza kabla ya kutoa tamko lolote na pia atafute ushauri kabla ya kufanya hivyo pia.Mungu ibariki Tanzania.
 
Ni dhahiri ushauri wako utamfikia na ataufanyia kazi kwa maslahi yake binafsi, chama chake na taifa kwa ujumla.
 
Hiyo ni kweli kabisa mkuu,kwa upande mmoja Lema aliongea kitu sahihi kwa wakati na sehemu isiyo sahihi,ni suala la kujirekebisha,na asikubali kutawaliwa na hisia,ila ajitahidi kutawala hisia zake,lema ni mbunge wangu,aliyeingia bungeni kwa ridhaa yangu,ninamkubali ila anapopotoka ni bora nimuudhi kwa kumwambia ukweli kwa wakati na mahali sahihi,tukimsifia tu tutakuwa tunamwaribu na atatulaumu siku moja.
 
Hili kweli naungana na wewe....ni mbunge wangu na ninamwamini sana.....lakini maneno aliyozungumza siku ile ya tukio la bomu.....kamanda ulinikwanza kidogo.....hebu jaribu kuwa mtulivu.......kwenye maswala yanayowahusu waTanzania....naomba kamanda tucheze mziki sawasawa.......kuleta jazba kwenye jazba.....haitusaidii.......tuweke utaifa mbele kwanza.....tuungane kuweka nchi salama.....then tuanze kucheza dizain tunazotaka.....tukishahakikisha nchi ipo salama........
 
Hili kweli naungana na wewe....ni mbunge wangu na ninamwamini sana.....lakini maneno aliyozungumza siku ile ya tukio la bomu.....kamanda ulinikwanza kidogo.....hebu jaribu kuwa mtulivu.......kwenye maswala yanayowahusu waTanzania....naomba kamanda tucheze mziki sawasawa.......kuleta jazba kwenye jazba.....haitusaidii.......tuweke utaifa mbele kwanza.....tuungane kuweka nchi salama.....then tuanze kucheza dizain tunazotaka.....tukishahakikisha nchi ipo salama........

Seconded!
 
Hili kweli naungana na wewe....ni mbunge wangu na ninamwamini sana.....lakini maneno aliyozungumza siku ile ya tukio la bomu.....kamanda ulinikwanza kidogo.....hebu jaribu kuwa mtulivu.......kwenye maswala yanayowahusu waTanzania....naomba kamanda tucheze mziki sawasawa.......kuleta jazba kwenye jazba.....haitusaidii.......tuweke utaifa mbele kwanza.....tuungane kuweka nchi salama.....then tuanze kucheza dizain tunazotaka.....tukishahakikisha nchi ipo salama........
Kumbe ulistukia ishu eeh?
Mi nilijua ni peke yangu nimeshituka!
Kwanza ile walipomkatia matangazo mi nilijua tayari keshawekwa kati na Polisi!.
Lema aliharakisha sana kuanzisha lawama kwa ccm kabla hata hajasikitikia tukio ipasavyo!
Ni kweli ccm wameifikisha hii nchi ilipo, lakini hata 'Ngoma huanza na lele!'
To be frank iwas disappointed that day!

 
Kamanda lema anakosa gani?yaani wewe uamke na mada uchwara na utake tukuunge mkono.plz hatuna muda mchafu sasa jembe ameharibu kipi?sababu huna unazunguka zunguka tuu umeona leo utoke na bifu zidi ya mh lema.ngoja nisifunguke sana naogopa bani ila ukue ebo!
 
Kwa mara ya kwanza wana JF wamenena kiustaarabu na kiutanzania zaidi. Nadhani ni vyema hili likaendelea. Napenda kumshauri ndugu yangu SLAVE kuwa wauza ubuyu ndiyo wenye nchi hivyo alivyowataja ni kama amewadharau kama si binadamu wa kawaida au hawafikirii!!!!

Naamini Kamanda Lema akijitathmini vyema atakugundua wapi alikojikwaa maana Bosi wake Mh. Mbowe, pia kadinali Pengo na Shhe Mkuu wa Dar es Salaam wamenena kinyume nae kabisa tena Pengo ameenda mbali kusema haoni udini mahali ambapo hata waliokamatwa wengi ni wakristo, hivyo ni vyema uchunguzi wa kina ukafanyika.

Nikumbushe kuwa haya mambo yanafanywa au watu hutimiza azma yao pale penye mwanya; kwa mfano, kama kuna mwanya wa udini watu wanafanya mambo yao ili tu Arusha ishuke kiutalii utalii uhamie Kenya nani anajua???? Au mtu mwenye uchu wa kuona nchi haitawaliki ili tu Tanzania ionekane si sehemu salama ya watalii au mashirika ya kimataifa kuwepo, au siasa uchwara za hapa nchini au kama za obote za fanya lolote ili ikiwezekana wananchi waichukie serikali uchaguzi uitishwe upya au tufanye mapinduzi.

Mwisho, nashauri tuache kuzungumzia mambo yetu ya usalama hasa ya siri bila kujali mipaka. Hii ni hatari kubwa sana. Na huo ni ushauri wangu kwa Lema maana CHADEMA ikichukua nchi kwa kadiri ya mazungumzo ya Kiwia na wenje pale Mwanza ndiye atakua waziri wa Mambo ya ndani.
 
Kwa bahati mbaya aliingia katika mtego ule ule ambao Mulongo aliingia alipokwenda uhasibu. Iwas not happy with my MP that day nilitaka tuonyeshe solidarity kwanza then baada ya hapo angetoa analysis yake kwa yaliyotokea.
 
Naunga mkono hoja. Hata hivyo hili li-Nchi lilipofikia linahitaji mtu wa kulikurupusha ili liamke lkn siyo kwa jazba bali kwa calculated moves
 
Kamanda lema anakosa gani?yaani wewe uamke na mada uchwara na utake tukuunge mkono.plz hatuna muda mchafu sasa jembe ameharibu kipi?sababu huna unazunguka zunguka tuu umeona leo utoke na bifu zidi ya mh lema.ngoja nisifunguke sana naogopa bani ila ukue ebo!
Hell Nooo!

Ile speech ni ya kwenye M4C siyo kwenye msiba aisee!...sometimes tukubali kukosolewa na kuadmit kuchemsha!

Ishu kama ile ina mkusanyiko wa watu wa kila aina, kuna wa chama chake, kuna wapinzani wake, kuna wasio na vyama!

Mbaya zaidi pale kulikuwa na clergy team (watu wa dini, Maparoko, mapadri, Katekista, masista, maaskofu, na yule mgeni rasmi), ambapo kauli kama hizo moja kwa moja zinapelekea wasiokitakia chama chenu mema wajue kuwa cdm ina uhusiano wa moja kwa moja na kanisa!...kwanini uiponde ccm mbele ya waumini?...I will not support this!

Kuongelea mambo ya vyama kwenye tukio la aina hiyo haifurahishi masikioni kabsaaaaaa!...LEMA UACHE, NAMSHANGAA NASSARI AMBAYE ULIANDAMANA NAYE HATA ALISHINDWA KUKUFINYA PAJA KIDOGO KUKUASHIRIA KUWA UNAENDA CHAKANI!

Ni kweli tunapenda hiki chama, lakini sometimes jazba za Bwana Lema zinakosa busara na ushauri!
 
Hili kweli naungana na wewe....ni mbunge wangu na ninamwamini sana.....lakini maneno aliyozungumza siku ile ya tukio la bomu.....kamanda ulinikwanza kidogo.....hebu jaribu kuwa mtulivu.......kwenye maswala yanayowahusu waTanzania....naomba kamanda tucheze mziki sawasawa.......kuleta jazba kwenye jazba.....haitusaidii.......tuweke utaifa mbele kwanza.....tuungane kuweka nchi salama.....then tuanze kucheza dizain tunazotaka.....tukishahakikisha nchi ipo salama........
Lema alikirupuka kwa jazba, naona sasa wana jf
wanaanza kupevuka kwa kukikiri na kukubali makosa
yanayotokea.....
kumbe preta nawe ni mwanaharakati
 
Katika kipindi cha hivi karibuni naona kamanda lema anaongea mambo akiwa ktk jazba kubwa sana.kutokana na hilo me naona kuna sehemu anakosea kwani wataalam wanasema mtu ukiwa na hasira au furaha sana sio vizuri kutoa maamuzi au matamko yanayohusu jamii mojakwamoja.Ushauri wangu kwake ajari kufikiri kwanza kabla ya kutoa tamko lolote na pia atafute ushauri kabla ya kufanya hivyo pia.Mungu ibariki Tanzania.


Vipi mkuu umemuota Lema nini; umelazimishwa kumsikiliza? Kachukue posho Lumumba sasa hivi wameiona post yako.
 
Kwa mara ya kwanza wana JF wamenena kiustaarabu na kiutanzania zaidi. Nadhani ni vyema hili likaendelea.Napenda kumshauri ndugu yangu SLAVE kuwa wauza ubuyu ndiyo wenye nchi hivyo alivyowataja ni kama amewadharau kama si binadamu wa kawaida au hawafikirii!!!!

Naamini Kamanda Lema akijitathmini vyema atakugundua wapi alikojikwaa maana Bosi wake Mh. Mbowe, pia kadinali Pengo na Shhe Mkuu wa Dar es Salaam wamenena kinyume nae kabisa tena Pengo ameenda mbali kusema haoni udini mahali ambapo hata waliokamatwa wengi ni wakristo, hivyo ni vyema uchunguzi wa kina ukafanyika.

Nikumbushe kuwa haya mambo yanafanywa au watu hutimiza azma yao pale penye mwanya; kwa mfano, kama kuna mwanya wa udini watu wanafanya mambo yao ili tu Arusha ishuke kiutalii utalii uhamie Kenya nani anajua???? Au mtu mwenye uchu wa kuona nchi haitawaliki ili tu Tanzania ionekane si sehemu salama ya watalii au mashirika ya kimataifa kuwepo, au siasa uchwara za hapa nchini au kama za obote za fanya lolote ili ikiwezekana wananchi waichukie serikali uchaguzi uitishwe upya au tufanye mapinduzi.

Mwisho, nashauri tuache kuzungumzia mambo yetu ya usalama hasa ya siri bila kujali mipaka. Hii ni hatari kubwa sana. Na huo ni ushauri wangu kwa Lema maana CHADEMA ikichukua nchi kwa kadiri ya mazungumzo ya Kiwia na wenje pale Mwanza ndiye atakua waziri wa Mambo ya ndani.
Mabulangati
mkuu si kweli kuwa nimewadharau wauza ubuyu, pengine ungenijua nafanya kazi gani usingesema hilo, utofauti wa muuza ubuyu na yeyote aliyepo katka madaraka ni tofauti.huwezi kusema wote wapo sawa wakati muuza ubuyu akipatwa na hata ugonjwa ambao hauwezekani hapa nchini hawezi kwenda huko india kwa matibabu,
 
Last edited by a moderator:
Vipi mkuu umemuota Lema nini; umelazimishwa kumsikiliza? Kachukue posho Lumumba sasa hivi wameiona post yako.

Hapana mkuu wangu,mimi nimekuwa mfuasi mwaminifu wa Lema kabla hajahamia chadema,tumepambana toka akigombea na Tlp,na tulianza kusherehekea ushindi hata kabla ya matokeo kutangazwa,baada ya matokeo yale yenye utata kutolewa tulimuuliza mh lema msimamo wake,mwanzo alikiri uchakachuaji lakini baadaye alikiri kuwa potelea mbali!!pakazuka miguno kuwa lema amefanyia kura zetu biashara,yote yaliisha kwa kheri na this time again tukasimama naye kuhakikisha anabeba vyema bendera ya cdm,tukampiga na mikwara kuwa ukiuza usitoke huko kwenye chumba cha matokeo,dua zetu zikasikika,amekuwa mbunge,tumeshangilia sana,hatukulala!! Leo akiboronga eti tukuogope wewe kwa kuwa hupendi anyooshewe kidole???? Yeye mwenyewe anasema hakuna dhambi mbaya kama dhambi ya uoga!! Na mimi nasema hakuna uoga mbaya kama kuogopa kukosolewa!!!! Ile ni nyundo yetu,tukiona ina crack ni hekima kuirepea mapema ili iendelee kutusaidia kuvunja miamba hii migumu inayotukera.
 
Ile ni nyundo yetu,tukiona ina crack ni hekima kuirepea mapema ili iendelee kutusaidia kuvunja miamba hii migumu inayotukera.

Mimi nimemjibu kunyala wewe unajibu kwa niaba ya kunyala, hapo kuna tatizo. Kifupi Lema ana haki ya kusema lo lote; kama hutaki acha. Kumkosoa wakati alichosema hakikudhuru wala hakina madhara ni kujisumbua. Ila ametumia fursa aliyopewa vizuri kasema alichosema na baadhi yetu tumemwelewa ametoa kauli inayojisimamia. Sitajii timu ya Lumumba na dhaifu wao wamwelewe Lema. Uliza ufafanuliwe alichosema itakusaidia uwasidie wengine kuelewa.
 
Back
Top Bottom