Ushauri kwa mabinti

Tafuta wahaya wanajua kupenda
 
Aahahahahah una haki shoga ya kukimbia
yan hujaelewa kwetu tulikua tunakula Kila mmoja sahan lake ila nimeolewa mume hataki anadai ni uchoyo so wote mnakula bakuli moja sahan moja
 
Hahahaha mm ndo kabisa wa kabila langu siwataki wabahili hatar hahahhaha
Wa kabila langu simtaki ...wasukuma siwataki...wakurya siwataki ...wamasai pia siwataki ....

Naruhusu povu kadri sabuni inavyoruhusu
 
Uongo hao ni wasukuma gani unao wasemea hamna mtu mkalimu kama msukuma tena tuna upendo wa dhati kama.upo songea sema nikuweke ndani
 
ninamtoto wa kike kati ya vitu nitakua namwambia akikua asije olewa na msukuma labda awe wa mjini
...yeye anaweza kua wa mjini ila ndugu zake Sasa!!!
Acheni roho mbaya mbona sie kina nyanda mnatuonea sana mbona ni watu poa tu
 
Uchoyo unakusumbua hujui ndugu ni baraka na kuhusu mtoto ni muhimu tena wamekuhurumia ilibidi ndani ya mwezi1 uwe na mimba tayari
 
ninamtoto wa kike kati ya vitu nitakua namwambia akikua asije olewa na msukuma labda awe wa mjini
...yeye anaweza kua wa mjini ila ndugu zake Sasa!!!

Acha kumwambukiza mtoto ujinga wako. Mwache akue afanye machaguo sahihi kwake. Wewe ndoa tatu zimekushinda, wote walikuwa wasukuma?
 
My dear hata wakielimika bado wanakuwa na huo usukuma ndani yao, very conservative.
 
Mtoa mada japo wewe nawe ni katatizo kidogo lakini ulichoongelea hata kama watakupinga ila kuna ka ukweli ndani yake. Mwanamke kuishi mwenyewe kwa muda mrefu na kuwa na mamalaka 100% juu ya maisha yake kunamfanya anakuwa na udume ndani yake.

Hata akiolewa hii hali itamtesa hadi uanamke wake urudi na aamue kuwa chini ya mwanaume. Hili tatizo wengi hawajaliona ila lipo na linachangia ndoa nyingi kuvunjiaka now days maana mwanamke nae anataka kuwa mwanaume ndani ya nyumba, ni kwasababu ya kuishi muda mrefu akijiamulia mambo yake.
 
ninamtoto wa kike kati ya vitu nitakua namwambia akikua asije olewa na msukuma labda awe wa mjini
...yeye anaweza kua wa mjini ila ndugu zake Sasa!!!
Mambo gani ya kuchafuana huku jf..wasukuma ni no.1 priority kwanza
Wakarimu,wapole,wanajua kupenda nakuthamini,sio wachoyo,giants,wanapenda family,watafutaji wengine wataongezea

Wabeja sana.
 
Yote hayo mnayo ni kweli tunachosema hapa ni kutojua kwenu kumthamini na kumtunza mke sio mwanamke!
Mambo gani ya kuchafuana huku jf..wasukuma ni no.1 priority kwanza
Wakarimu,wapole,wanajua kupenda nakuthamini,sio wachoyo,giants,wanapenda family,watafutaji wengine wataongezea

Wabeja sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…