Ushauri kwa mabinti

Unaonekana kisirani wewe... Ndoa tatu zimekushindaje?
 
Good advice
 

Hivi mtu anakuja vipi nyumbani kwako na kukupangia namna ya kuishi?

Kama kwako kila mtu sahani yake inakuwaje tena mnakula sahani 1? Labda useme huna sahani za kutosha au chakula cha kutosha.
 
Hivi mtu anakuja vipi nyumbani kwako na kukupangia namna ya kuishi?

Kama kwako kila mtu sahani yake inakuwaje tena mnakula sahani 1? Labda useme huna sahani za kutosha au chakula cha kutosha.
yan hujaelewa kwetu tulikua tunakula Kila mmoja sahan lake ila nimeolewa mume hataki anadai ni uchoyo so wote mnakula bakuli moja sahan moja
 
pole sana bibie ila kifupi ni kwamba kila kabila linamapungufu yake,hivi umeshawahi kusikia kwamba ukiolewa na mchaga wa kijijini anakuacha moshi unakaa na wakwe mwaka mzima yeye anaenda mikoani kutafuta maisha hadi xmass ndio mnaonana au ukiolewa na masai anayefata mila mke ni wa kila mwanaume wa rika la mumewe yani kama mimi ni masai halafu rika langu ni korianga basi kila korianga ana haki ya kukukula kama mimi mume wako sipo na hata mimi nikijua kimila sitakiwi kucomplain provided that aliyekukula ni age mate wangu kimila ,hivyo kikubwa ni wewe na mwenza wako kuzungumza kuwa kuna baadhi ya mambo ya kimila yanakukera na hayana positive impact yeyote kwenye ndoa yenu after all siyo kila msukuma mwanaume anafata hizo mila dada yangu anaishi na msukuma na cjawahi kuona hizo mambo so we are not supposed to act on inductive reasoning!
 
Hahaha yote unayosema mm nimeyashuhudia kwa Macho nilikaaga na Wasukuma Tabora, Singida, Mbeya, Katavi nawajua sana

Asubuhi nilishangaa umeletwa ugali wa Dona na Mlenda wa Unga tukala wote yaani wanaume kivyao wanawake kivyao na mkila mpaka chakula kinabaki

Nikaenda Singida nilifika kwa mwenyeji wangu ( Msukuma) jioni akatukaribisha mezani kulikuwa na Sinia kubwa lemejaa karanga za kuchemsha na Mahindi ya kuchemsha alafu unashushia na bakuli la maziwa ya mtindi

Siku nyingine nilienda tabora vijijini nikakuta nyumban kwa mwenyeji wangu Ugali wa Mtama na Mlenda tukala baada ya kuisha ugali likaletwa sahani lina viazi vya kuchemsha na vikombe vikubwa vyenye maziwa mabichi yaliyotoka kukamuliwa mda sio mrefu zizini

Tatizo la wasukuma wengi hawana dini sio Waislam wala wakristo kwaiyo wanakosa zile adabu za kula kama unakinyaa unaweza ukashindwa kula nao ( baadhi yao wanakuwa wachafu sana) wanavaa mashuka yanatoa harufu mbaya hawaogi wanavaa mabangili yanatema sio mchezo

Formula yao ya kula haiko systematic lakini nilipenda vyakula vyao ni vya asili tupu
 
Alafu msukuma akikuona ww umetoka mjini akikukaribisha chakula usipokula anaona umemdharau na kumuona yeye mchafu hili lilinipelekea kunywa uji wa mahindi yasiyo na chumvi wala sukari

Ila mvumilie na umuelimishe kidogo dogo huwenda akabadilika
 
Mila za zamani???? Hizi zipo sana halafu ukumbuke 60% ya raia wa Tanzania wanaishi vijijini sasa sijui unabisha nini!!
Hivi haya mambo mnayatoaga kwa wasukuma wa Bangladeshi au wawapi?

Hizo mila za zamani zipo kwa makabila yote, elimu na dini vimeahadiminish hizo mambo. Unless unaleta chuki binafsi. Kama hujaolewa njoo pm tuongee
 
Kama ulivyosema msukuma asikutolee mahari tu
Mazuri yao ni sio wachoyo wanajua kuhonga bhana, wanapenda maji balaa na wana nguvu sana kwenye mambo flani akiwa ameelimika mbona utafurahi
 
Hahahahahaha aisee umenichekesha balaa,,, kama hujaishi usukumani hiyo ni changamoto hapo ushaitwa majina yote na wanavyowasemaga wahaya wako wachoyo kumbe ni ustaarabu wa kawaida tu

Pole sana aisee kama nakuona umebeba jembe begani unaenda kujifunza kulima kwakweli huo ni mtihani
 
Hivi mtu anakuja vipi nyumbani kwako na kukupangia namna ya kuishi?

Kama kwako kila mtu sahani yake inakuwaje tena mnakula sahani 1? Labda useme huna sahani za kutosha au chakula cha kutosha.
Huwajui wasukuma wewe!!
 
Alafu msukuma akikuona ww umetoka mjini akikukaribisha chakula usipokula anaona umemdharau na kumuona yeye mchafu hili lilinipelekea kunywa uji wa mahindi yasiyo na chumvi wala sukari

Ila mvumilie na umuelimishe kidogo dogo huwenda akabadilika
Kubadilika ni ngumu hasa awe mnyantuzu hehehe mbona analo ni viburi wale wasukuma wa shy

Ila tu ni wakarimu mno hili kabila hawana choyo na wana utu sana wabarikiwe kwakweli
 

Nimekuonea huruma.
 
Kubadilika ni ngumu hasa awe mnyantuzu hehehe mbona analo ni viburi wale wasukuma wa shy

Ila tu ni wakarimu mno hili kabila hawana choyo na wana utu sana wabarikiwe kwakweli
Kwenye Ukarimu jamaa wako vizuri sana nilishawahi kwenda Urambo nilikaribishwa kwa ukarimu nikatengewa maji ya kuoga wakanichinjia kuku mzma akawekwa kwenye Chungu nikapewa pekeyangu chungu chote nikaambiwa kula mzee wako huyo

Jamaa walikuwa wanapiga Kinyantuzu tupu alafu mm kwenye hiyo lugha ni Sifuri Dar mda mwingine nilihisi wananiteta haaah

So far jamaa wako pouwa hawaishi kwa Stress wanakuwaga na akiba ya chakula ya hata miaka miwili au mitatu fully mang'ombe ,Mbuzi na Kondoo
 
Kuishi nao kifamilia wako fresh sana

shida inakuja kwa upande wetu kuolewa hapo ndo pagumu maana zile baby baby hawana wala hawazijui, wasukuma hata romance hawajui wao ikisimama tu ni kudumbukiza hapa kwenye ishu ya kumlea mke ni sifuri kabisa,,,,,

Uzuri wao sio wachoyo jamani jamani ndo uwe jeupe hivi na umejaa kiaina msukuma anakupigia na goti chochote kilicho ndani ya uwezo wake atakupa subiri akuoe,,,, mama weeee
 
huwataki kabisa wachaga sio?
 
Kama ulivyosema msukuma asikutolee mahari tu
Mazuri yao ni sio wachoyo wanajua kuhonga bhana, wanapenda maji balaa na wana nguvu sana kwenye mambo flani akiwa ameelimika mbona utafurahi
Dawa ya msukuma ni Mwanamke Mweupe aisee kule Singida jamaa wanahonga sana mahela ili azae na msukuma apate binti mweupe anajua siku akinuozesha atapata ng'ombe wengi bimaana atatajirika

Nilikuwa nawaona wakienda Bar pamoja wapo na Mabangili na Mashuka lakini akikaa kwenye Meza anazungukwa na totoz za Kinyatulu hapo hata 500k ya ng'ombe itaisha

Kwenye mechi jamaa wako pouwa sababu kuu wnakula vyakula vya asili tu
 
Waswahili husema "asilani abadani"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…