Ushauri kwa mabinti


Loh!
Kuna rafiki yangu ameolewa na msukuma naye sijui anapitia haya

Hapo ndugu wanakuja kuishi kabisa katika chumba na sebule tulichopanga wanakuwa hawana kwao ama?

Mi nisingekaa kimya aseee
 
Asante mama Terry
 

Amekubali kuwa yeye ndio tatizo kwakuwa aliishi peke yake muda mrefu akazoea Uhuru wake..Sasa kuwa chini ya mtu anaona tabu....kiasi Fulani Yuko sahihi Wala usibishe sana.
 
Amekubali kuwa yeye ndio tatizo kwakuwa aliishi peke yake muda mrefu akazoea Uhuru wake..Sasa kuwa chini ya mtu anaona tabu....kiasi Fulani Yuko sahihi Wala usibishe sana.
Halafu wala sijabisha...kama kaandika yeye ndio mwenye tatizo na mi nikaja kuandika kwamba yeye ndio mwenye tatizo hapo means nimekubaliana nae,sio kubisha.
 

Nimecheka sana
 
Usilaumu ndugu
Mfano nilikuwa kwenye mahusiano ten years,, Bahati mbaya pendo likafa
Kuanzia 2016 Mpaka sasa nipo kama msela Fulani, so ni namna gani unajjtambua na utajitunza ukawa mwanamwali mwema,,
Halafu siku hizi vijana hamuoi jaman
Sasa msilaumu wanawake kuwa single for long time
 

Cases zipo ila ziwe chache sasa.

Miaka 10 mahusiano? Miaka miwili ushajua mwanaume anaeleweka au ni wale.

Tena hapo kila mmoja anaishi kwake. Mkiwa mnaishi naye hata miezi 6 ushajua kiimbo chake mpangapo mipango ya maisha.

Wewe endelea tu kuishi.
 
Wewe, ka'MALAYA,
 
Mungu aniepushe kwa kweli mana kuendekeza ujinga siwezagi
ninamtoto wa kike kati ya vitu nitakua namwambia akikua asije olewa na msukuma labda awe wa mjini
...yeye anaweza kua wa mjini ila ndugu zake Sasa!!!
 
Kuna uchoyo na kushindwa kuendekeza ujinga

Yani mje mjazane katika chumba na sebule ninyamaze?kwa kweli nionekane mchoyo tu
anaweza ingia chumbani kwako akachukua nguo yoyote yako akavaa ukimnyima ndio uchoyo
Kama mko wa4 ukapika chakula kutokana na mlivyo uchoyo huo wanataka wale mpaka kingine kibaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…