wa kwanza awe mrema. na hii haitaleta madhara makubwa kwa Lisu kwa sababu Lisu ni mwenyekitu mpya, haitakuwepo ile kwamba mtu akitoka ataenda kutuanika huko nje, akianika atakuwa anamwanika DJ ambaye sio mwenyekiti tena, na LIsu atasema mimi ni mpya na ma,mbo mampya msinijumuishe.Wafukuze G55 Mapema kabla hayajawa ya Lipumba kwa Maalim Seif kwa CUF.
Njia ya kuwafukuza wanachama.
Wafutwe kupitia matawi yao mmoja mmoja tena wiki hadi wiki. Njia hii itasaidia kulisambaratisha kundi hili
Vyenginevyo athari kubwa mbeleni.
Nimeamua kumsaidia Lissu ili kupinga siasa za ulaghai kwa vijana hasa wa upinzani kwani wakiachiwa wanawasababisha matatizo makubwa vijana wanaopenda siasa
Magufuri aliwaingiza wangapi?Hapana, CCM sio wakususia uchaguzi, ndi watafurahi.
Lisu aingize timu, wabunge watakao patikana wakakiwashe bungeni, sauti zitasikika.
Wapambane ndani ya geti