PreGE2025 Ushauri kwa Lissu kuhusu G-55

PreGE2025 Ushauri kwa Lissu kuhusu G-55

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,476
Reaction score
12,666
Wafukuze G55 Mapema kabla hayajawa ya Lipumba kwa Maalim Seif kwa CUF.

Njia ya kuwafukuza wanachama.

Wafutwe kupitia matawi yao mmoja mmoja tena wiki hadi wiki. Njia hii itasaidia kulisambaratisha kundi hili
Vyenginevyo athari kubwa mbeleni.

Nimeamua kumsaidia Lissu ili kupinga siasa za ulaghai kwa vijana hasa wa upinzani kwani wakiachiwa wanawasababisha matatizo makubwa vijana wanaopenda siasa
 
Hapana, CCM sio wakususia uchaguzi, ndi watafurahi.
Lisu aingize timu, wabunge watakao patikana wakakiwashe bungeni, sauti zitasikika.

Wapambane ndani ya geti
 
Hapana, CCM sio wakususia uchaguzi, ndi watafurahi.
Lisu aingize timu, wabunge watakao patikana wakakiwashe bungeni, sauti zitasikika.

Wapambane ndani ya geti
Kwani bado umelala?
Leo ni mashati day
 
Tuliwaonya kuhusu Mbowe.
Muacheni Mstaafu apumzike,kafikisha chama kipo imara na kimekua hapo kilipo ndio maana hao akina lisu na heche wametamani kugombea na kukiongoza.

Na wao wapambane kukijenga vizazi vijavyo wakikute chama imara, wengine watamani kukiongoza kama wao si kukashifu viongozi waliopita ni ujinga
 
Wafukuze G55 Mapema kabla hayajawa ya Lipumba kwa maalim seif kwa cuf.
Njia ya kuwafukuza wanachama.
Wafutwe kupitia matawi yao mmoja mmoja tena wiki hadi wiki. Njia hii itasaidia kulisambaratisha kundi hili
Vyenginevyo athari kubwa mbeleni.
Nimeamua kumpasaidia Lissu ili kupinga siasa za ulaghai kwa vijana hasa wa upinzani kwani wakiachiwa wanawasababisha matatizo makubwa vijana wanaopenda siasa
Nami naunga mkono hoja hii. Na ikiwezekana upitishwe mchango uitwe "Ndi! Ndi! .Ndi!" ili kuutofautisha na ule wa Tone! Tone! Lengo ni kuhakikisha wanafukuzwa HARAKA iwezekanavyo
 
Muacheni Mstaafu apumzike,kafikisha chama kipo imara na kimekua hapo kilipo ndio maana hao akina lisu na heche wametamani kugombea na kukiongoza.

Na wao wapambane kukijenga vizazi vijavyo wakikute chama imara, wengine watamani kukiongoza kama wao si kukashifu viongozi waliopita ni ujinga
Wasiwe kama Lìpumba anayesimamia kuimaliza CUF.
 
Wafukuze G55 Mapema kabla hayajawa ya Lipumba kwa maalim seif kwa cuf.
Njia ya kuwafukuza wanachama.
Wafutwe kupitia matawi yao mmoja mmoja tena wiki hadi wiki. Njia hii itasaidia kulisambaratisha kundi hili
Vyenginevyo athari kubwa mbeleni.
Nimeamua kumpasaidia Lissu ili kupinga siasa za ulaghai kwa vijana hasa wa upinzani kwani wakiachiwa wanawasababisha matatizo makubwa vijana wanaopenda siasa
Kwenye kampeni akina heche na lema walivokua wanamtukana Mbowe,na yeye angekua na mawazo hayo angewafukuza

Uongozi miezi 2 haujaisha mshaanza fukuzana
 
Muacheni Mstaafu apumzike,kafikisha chama kipo imara na kimekua hapo kilipo ndio maana hao akina lisu na heche wametamani kugombea na kukiongoza.

Na wao wapambane kukijenga vizazi vijavyo wakikute chama imara, wengine watamani kukiongoza kama wao si kukashifu viongozi waliopita ni ujinga
Hakuna atakayeweza kukijenga tena, kinaenda kugawanyika vipande kisha kupoteana.
 
Kwenye kampeni akina heche na lema walivokua wanamtukana Mbowe,na yeye angekua na mawazo hayo angewafukuza

Uongozi miezi 2 haijaisha mshaanza fukuzana
G55 ni genge la Mbowe, ndo wenye chama chao.... hawajakubali kupokonywa mali yao.
 
Tarehe 12, April, 2025 Ofisi ya Msajili inataka vyama vyote vyenye nia ya kushiriki Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwenda kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi, na kutosaini kanuni hizo kwa mujibu wa Kifungu cha 162 cha Sheria ya Uchaguzi za 2024 ni kosa la kuondolewa moja kwa moja kwa chama kushiriki.

Je, CHADEMA watasaini au la?
 
Kwenye kampeni akina heche na lema walivokua wanamtukana Mbowe,na yeye angekua na mawazo hayo angewafukuza

Uongozi miezi 2 haijaisha mshaanza fukuzana
Awafukuze ili siasa ziwe na heshima
 
Hapana, CCM sio wakususia uchaguzi, ndi watafurahi.
Lisu aingize timu, wabunge watakao patikana wakakiwashe bungeni, sauti zitasikika.

Wapambane ndani ya geti
Wawafukuze hawa mmoja mmoja kupitia matawi yao , anaanza mrema , siku ya 3 Catherine mpaka wote waishe
 
Wafukuze G55 Mapema kabla hayajawa ya Lipumba kwa maalim seif kwa cuf.
Chama kinachoamini demokrasia kilivumilia uhuru wa kusemana wakati wa kampeni za uchaguzi ndani ya chama, na uhuru huo ndio ulioubeba uongozi uliopo madarakani. Wakati ule tukajisemea kwamba hawa jamaa wakivuka uchaguzi wao salama watakuwa imara sana.

Jambo la ajabu baada ya uongozi uliobebwa na agenda ya uhuru wa kuongea kushika hatamu, unashindwa kuwavumilia wengine ndani ya chama wanaoongea dhidi yao the same way kama wao walivyoongea
 
Hicho kikundi cha G55 ni waasi wafukuzwe uanachama wakafie mbele, wanavuruga chama. CHADEMA ina wanachama wengi hata hao wakifukuzwa hakitaathirika. Hawana adabu na heshima, ni wapumbavu wakaungane na wale covid 19 waunde chama chao au wakajiunge na vyama vingine vyenye kuhitaji na kupokea waasi
 
Wafukuze G55 Mapema kabla hayajawa ya Lipumba kwa maalim seif kwa cuf.
Njia ya kuwafukuza wanachama.
Wafutwe kupitia matawi yao mmoja mmoja tena wiki hadi wiki. Njia hii itasaidia kulisambaratisha kundi hili
Vyenginevyo athari kubwa mbeleni.
Nimeamua kumpasaidia Lissu ili kupinga siasa za ulaghai kwa vijana hasa wa upinzani kwani wakiachiwa wanawasababisha matatizo makubwa vijana wanaopenda siasa
Nyie ndio chama cha demokrasia?
 
Chama kinachoamini demokrasia kilivumilia uhuru wa kusemana wakati wa kampeni za uchaguzi ndani ya chama, na uhuru huo ndio ulioubeba uongozi uliopo madarakani. Wakati ule tukajisemea kwamba hawa jamaa wakivuka uchaguzi wao salama watakuwa imara sana.

Jambo la ajabu baada ya uongozi uliobebwa na agenda ya uhuru wa kuongea kushika hatamu, unashindwa kuwavumilia wengine ndani ya chama wanaoongea dhidi yao the same way kama wao walivyoongea
Dhana hii ndio iliopelekea watoto wa kileo kuwatongoza mama zao kwa kuiga wazungukuwatong
Chama kinachoamini demokrasia kilivumilia uhuru wa kusemana wakati wa kampeni za uchaguzi ndani ya chama, na uhuru huo ndio ulioubeba uongozi uliopo madarakani. Wakati ule tukajisemea kwamba hawa jamaa wakivuka uchaguzi wao salama watakuwa imara sana.

Jambo la ajabu baada ya uongozi uliobebwa na agenda ya uhuru wa kuongea kushika hatamu, unashindwa kuwavumilia wengine ndani ya chama wanaoongea dhidi yao the same way kama wao walivyoongea
 
Back
Top Bottom